Wanawake tunapitia mengi jamani

Wanawake tunapitia mengi jamani

Kupitia maswahibu yote hayo ni we mwenyewe kujitakia tu.

1. Kitambi hakijifichi, sasa mwenye tambi lake akikutaka na ukakubali hapo kajilaumu mwenyewe unless iwe ndoani maybe mlianza akiwa hana kitambi then mambo yakamnyookea haswaa akajikuta kitambi anacho. Vile venye na'hate kitambi kisichoeleweka mbona mazoezi nitakuwa nakusindikiza mwenyewe.

2. Muhogo wa jang'ombe dk zero anamwaga wachaga mtibie na mazoezi wenyewe wanaita "kegel" naona onaga humu wakifundishana.

3. Wakutwanga kinu mbona wanafundishika hao? Kama kubwa inakuzidia si unamwambia tu afanye slowly na asizamishe lote, mambo ya kuumizana baadaye uanze kutafuna feni ikupepee nani anakubaliana nayo 🙂

4. Hao wachafu koge by appearance tu uwa wanaonekana ni wewe sasa kabla ya yote kukubali/kukataa. Kama ni mchafu ukimpenda mbadilishe asiposikia achana nae maana inataka moyo sana kuishi/kumingle na mtu mchafu.

5. Kibamia is always the best..
Namba 5 imenikosha sana🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Kutokana na ulivochambua naona una ma x wanne mpaka sasa
 
......................................Siku mleta mada akiingia menopause na apatane na boya mmoja hivi mtaani kwao kuanzisha familia pamoja,guess what!!!

Usiku wa kwanza......
FB_IMG_1588622828871.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda kwao, unaambiwa mahari ni million mbili na nusu. Wazazi wangejua haya anayoyapitia binti yao, sidhani kama wangehitaji hata senti tano!

Chief huu ujumbe ni mzito [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Acha tu ndugu yangu!! mimi niliambiwa milioni saba #yaani saba milioni..!!! ila wachaga wa Moshi- huru kule kwa diwani daaah waliniweza..!!!

Mwanaume kamili unatoa, kama alivyosema remi ongala kipenda roho [emoji3]
 
Sasa we nae usiyejua wapi uweke X na wapi uweke S napo ujishaue hapa kwamba unapata kinyaa kuoa kisa mtu mmoja kajisikia kuongea vilivyoko akilini mwake? Shubamit

Pia hao wadada wanaotumika uwa wanajitumia wenyewe kwani? Nyie si ndiyo watumiaji!! Halafu hapa mnajitutumua wenyewe [emoji57]

Cha msingi kila mtu both ME & KE a'maintain standards zake ili aje kupata mtu wa kufanana nae. Period

Mkuu nitakutafuta unipe shule kwenye standard maintenance hapo [emoji1545]
 
Pole kwa yote uliyokutana nayo, endelea tu kuchakatwa ipo siku utakutana na unayemtaka.
 
Kupitia maswahibu yote hayo ni we mwenyewe kujitakia tu.

1. Kitambi hakijifichi, sasa mwenye tambi lake akikutaka na ukakubali hapo kajilaumu mwenyewe unless iwe ndoani maybe mlianza akiwa hana kitambi then mambo yakamnyookea haswaa akajikuta kitambi anacho. Vile venye na'hate kitambi kisichoeleweka mbona mazoezi nitakuwa nakusindikiza mwenyewe.

2. Muhogo wa jang'ombe dk zero anamwaga wachaga mtibie na mazoezi wenyewe wanaita "kegel" naona onaga humu wakifundishana.

3. Wakutwanga kinu mbona wanafundishika hao? Kama kubwa inakuzidia si unamwambia tu afanye slowly na asizamishe lote, mambo ya kuumizana baadaye uanze kutafuna feni ikupepee nani anakubaliana nayo 🙂

4. Hao wachafu koge by appearance tu uwa wanaonekana ni wewe sasa kabla ya yote kukubali/kukataa. Kama ni mchafu ukimpenda mbadilishe asiposikia achana nae maana inataka moyo sana kuishi/kumingle na mtu mchafu.

5. Kibamia is always the best..
Aiseee
Kumbe mi nina kibamia baby
 
Aiseee
Kumbe mi nina kibamia baby
Teh teh! Si unajua vile uwa kinani'drive crayz? We mpishi hodari eti, ila naogopa kufunguka sana bwana manyaku wasije kukuvamia huko PM 😅😅
 
Huwezi kupata kila kitu, coz hata wewe huna kila kitu.

Shida tu ni hapo kwenye mahari, wazee watataja mahari hadi tushangae, sema kama wewe muislam itakuwa afadhali coz ukisema 50k itakuwa "value for money"
 
Mwanaume kamili unatoa, kama alivyosema remi ongala kipenda roho [emoji3]
Hahahha!!
Hapana aisee!!! wachaga wamezidi binti anakimbilia 30 wanataka saba milioni, what if angekuwa below 25yrs si wangetaka twenty kabisa kukomoa...
 
Back
Top Bottom