Wanawake ,Tupeni Ushirikiano katika kipindi hiki cha mvua,

Wanawake ,Tupeni Ushirikiano katika kipindi hiki cha mvua,

18094925_725316220984209_826509814086500352_n.jpg
 
Mvua zimenyesha huku mikoani watu tunahustle ila dar siku mbili tu mmeanza kelele
 
Pole sana...

It least i have mahondaw wangu anytime i want.. We do anything we want... Iwe joto,baridi, mvua au jua...
 
ha ha ha..ikifika February mwakani pia wanaume tuwe tayari kupokea mavuno ya tulichipanda kipindi hiki..siyo unamkimbia tena
 
Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=

Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
Tupo na wazee huku jamani,tunonekana kucheka bila sababu za msingi
 
na kwenye daladala mkiona tumejikunyata basi mjisogeze walau kuwe na mbananano wengine ni madomo zege kama mleta mada
 
Back
Top Bottom