Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,415
Jamaa yangu hapa ana mke mrembo haswa na jamaa linampenda kweli kweli mkewe. Tatizo ni kuwa mke ana vijitabia ambavyo jamaa vinamkera saaaana.
Huyu mwanamke anapenda hela huyu balaa, anafanya kazi ya ualimu na jamaa anakwambia hajawahi kuuona mshahara wake kipindi chote walichoishi mpaka leo first born wao yupo form 2. Hiyo haimjalishi jamaa but kinachomuuma ni pale anapoacha hela ya matumizi shilingi 15,000 kwa siku ili watoto wale vizuri then anakuta chakula ni mboga za majani ambazo hata 1000 hazifiki labda na wali pekee, bila tunda wala nini!!
Alijaribu kumuacha hivyo kwa muda wa mwezi mzima na mwendo ukawa ndo hivyo na kila akimuonya habadiliki na mbaya zaidi hata hela zinazobaki hazijulikani zinakoenda!!
Jamaa ili familia yake ile vizuri inambidi awe akitoka job jioni apitie sokoni kununua mahitaji ya home ya kesho yake la sivyo akiacha hela ni maumivu!!
Sasa jamaa anajiuliza, mshahara wake unaenda wapi achilia mbali mahitaji ya kike. Pia na hela ya nyumbani nayo ndo achakachue jamani? Hata pamoja ya kumjazia gari full tank kila week na service zote za gari?
Mpendejwe ninyi wanawake jamani!!!
Huyu mwanamke anapenda hela huyu balaa, anafanya kazi ya ualimu na jamaa anakwambia hajawahi kuuona mshahara wake kipindi chote walichoishi mpaka leo first born wao yupo form 2. Hiyo haimjalishi jamaa but kinachomuuma ni pale anapoacha hela ya matumizi shilingi 15,000 kwa siku ili watoto wale vizuri then anakuta chakula ni mboga za majani ambazo hata 1000 hazifiki labda na wali pekee, bila tunda wala nini!!
Alijaribu kumuacha hivyo kwa muda wa mwezi mzima na mwendo ukawa ndo hivyo na kila akimuonya habadiliki na mbaya zaidi hata hela zinazobaki hazijulikani zinakoenda!!
Jamaa ili familia yake ile vizuri inambidi awe akitoka job jioni apitie sokoni kununua mahitaji ya home ya kesho yake la sivyo akiacha hela ni maumivu!!
Sasa jamaa anajiuliza, mshahara wake unaenda wapi achilia mbali mahitaji ya kike. Pia na hela ya nyumbani nayo ndo achakachue jamani? Hata pamoja ya kumjazia gari full tank kila week na service zote za gari?
Mpendejwe ninyi wanawake jamani!!!