Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.

Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.

Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtapoteza mnaowapenda bure😁
 
Back
Top Bottom