Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tru lavu neva dai itakuwa hukumpendaThubutuuu!!! Iliwahi tokea hii, jamaa anarud kwangu mie nsha move on kitamboo, na nsha sahau km nliwahi muelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tru lavu neva dai itakuwa hukumpendaThubutuuu!!! Iliwahi tokea hii, jamaa anarud kwangu mie nsha move on kitamboo, na nsha sahau km nliwahi muelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwangu ina dai mazima, amini ivoTru lavu neva dai itakuwa hukumpenda
Basi hauna upendoKwangu ina dai mazima, amini ivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aje?
Ila wanawake mkitongoza mkikataliwa mnatia huruma sana, kuna mdada nikimuangalia anavyoteseka sijui nimuhurumie? Ila hapana
Ndomaa unanitakaga halafu husemi 😂😂😂😂Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nna nn? [emoji23][emoji23][emoji23]Basi hauna upendo
Sasa mbona hujiongezii? [emoji23][emoji23][emoji23]Ndomaa unanitakaga halafu husemi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe mimi huyo mdada.aje?
Ila wanawake mkitongoza mkikataliwa mnatia huruma sana, kuna mdada nikimuangalia anavyoteseka sijui nimuhurumie? Ila hapana
Ntakuchukulia namba mkuuNipe mimi huyo mdada.
😀
Una msambwanda🙊Ila nna nn? [emoji23][emoji23][emoji23]
MmmhNamtongoza.
Ko nawewe una kaza😁😁aje?
Ila wanawake mkitongoza mkikataliwa mnatia huruma sana, kuna mdada nikimuangalia anavyoteseka sijui nimuhurumie? Ila hapana
Hapana nna sababu zangu za kutomuelewa.Piga nyapu hio
Nakaza simuelewi na kadri siku zinavyozidi sogea ndio nazidi kupata sababu ya kutokumuelewa kabisa na tabia zake.Ko nawewe una kaza😁😁
Mtongoze, wanaume huwa hawakataiWadada kuna ile time mkaka umemuelewa na unatamani awe boy wako ila ye hana habari na wewe mnafanyaje ili mkaka ajue kuwa unampenda?
Mimi nimekupenda kijana mzuri😍Nakaza simuelewi na kadri siku zinavyozidi sogea ndio nazidi kupata sababu ya kutokumuelewa kabisa na tabia zake.
Na akikubali inawezekana kumuomba hela ? 😆Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usije ukajaribu. Mimi ukinitongoza nitakugonga na kulala mbele.Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]