The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyo anataka umwite Baby au honey.Mkuu si neno lenye Mamlaka si bora kuliko nikuite mengine ambayo pengine si maanishi Upendo.
😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anataka umwite Baby au honey.Mkuu si neno lenye Mamlaka si bora kuliko nikuite mengine ambayo pengine si maanishi Upendo.
Muendelezo mkuu.Kuna ka dada kalikua na frem karibu na hotel nayo penda kula kakiniona tu naenda hotelini na kenyewe hako kakifika kakute nakula basi kanakuja mezani pale kanadokoa mara soda Nayo kunywa nako kanakunywa nikajua tu haka kamekwama nilichukua simu yake nikaweka no yangu ....🤣🤣kalikua kanatuma sms za mahaba acha .
Hata Mimi tulishawahi kugombana humu jukwaani kuna member akaingilia kati 😁😁Mfanano wa Genta na mimi ni kua,mtu akiingia anga zangu na kashfa au lugha chafu hua simuachi,nampokea kama alivyokuja,watu wa aina hiyo ukisema uwapotezee hua wanajiona wameshinda au wamepata mnyonge wao,sasa mimi hua napinga mbu kwa nyundo ili ajue kua amegongana na Treni la mizigo.
😀
Kugombana na nani?Hata Mimi tulishawahi kugombana humu jukwaani kuna member akaingilia kati 😁😁
Mengine kama yapi hayo yasiyobeba upendo?Mkuu si neno lenye Mamlaka si bora kuliko nikuite mengine ambayo pengine si maanishi Upendo.
Ulikula?Kuna ka dada kalikua na frem karibu na hotel nayo penda kula kakiniona tu naenda hotelini na kenyewe hako kakifika kakute nakula basi kanakuja mezani pale kanadokoa mara soda Nayo kunywa nako kanakunywa nikajua tu haka kamekwama nilichukua simu yake nikaweka no yangu ....🤣🤣kalikua kanatuma sms za mahaba acha .
Mi nimekulia Arusha hayo makitu huku hamna 😁😁Huyo anataka umwite Baby au honey.
😀 😀
Fisi tena aache 🤣🤣Ulikula?
Chakula cha hotelini
Mfano nikuite baby serious wewe ni mtoto si dharau 😁😁😁Mengine kama yapi hayo yasiyobeba upendo?
saaafi alafu ukamuacha 😂Fisi tena aache 🤣🤣
Mimi na wewe tuliwahi kugombana ni mda kama miaka 3Kugombana na nani?
Kwani lipo hilo tu ? 😅Mfano nikuite baby serious wewe ni mtoto si dharau 😁😁😁
😂 unataka kusema nini na mwamba kashatia niaMimi na wewe tuliwahi kugombana ni mda kama miaka 3
Sijakuelewa,kugombana kivipi?Mimi na wewe tuliwahi kugombana ni mda kama miaka 3
😁😁😁Kwani lipo hilo tu ? 😅
Anaonekana ni mtu mwenye nongwa sana!😂 unataka kusema nini na mwamba kashatia nia
Hapana tuliwahi gombana ilibaki kidogo damu imwagike siku ile 😁😁😁😂 unataka kusema nini na mwamba kashatia nia
Kwahiyo nikimkubalia nijipange au nimkazie tu?😂Anaonekana ni mtu mwenye nongwa sana!
Eti 3 years back anakumbuka mpaka leo! kuna watu wanaichukulia JF serious aisee,sikuwahi kujua hilo.
😀 😀