mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
๐Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]