Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

Mbo
Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.

Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mbona sisi maharage ya mbeya maji maramoja tu
 
20240506_165228.jpg

Wanafanya hivi
 
Nasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Unakufa na tai shingoni Huku ukishuhudia unayempenda yuko na Dem mwingine au anampata Dem mwingine, Huku wewe ukiendelea kung'aa sharubu tuu Kwa udomo zege wako, pengine ungemweka wazi una mhitaji angekuskiliza
 
Unakufa na tai shingoni Huku ukishuhudia unayempenda yuko na Dem mwingine au anampata Dem mwingine, Huku wewe ukiendelea kung'aa sharubu tuu Kwa udomo zege wako, pengine ungemweka wazi una mhitaji angekuskiliza
Mwanaume hatongozwi. Asipoanza kunifungukia yeye ndio basi.
 
Ila anaweza kukuwekea mitego yote ukaona kabisa huyo ananitaka..sasa tabu inakuja pale unamface anaanza kuleta tena vimaringo ili aoneshe we ndo unamtaka zaid afu yeye wa thaman haswa...mi huwa ikifika stg hyo nakula buyu najifanya kama sijawahi hata kukujua....nongwa inaanzia hapo...anaanza kukutangaza kuwa huyu kaka anaringa....kumbe yy ndo kalianzisha
Kwa sasa kumtongoza mwanamke ni sawa na kujitakia kubeba shida zake tu. Akikuinyesha dalili tengeneza mazingira ya kula tunda kimasihala, kamwe usimtongoze ni hatari sana kwa mustakabali wa uchumi wako
 
Wadada kuna ile time mkaka umemuelewa na unatamani awe boy wako ila ye hana habari na wewe mnafanyaje ili mkaka ajue kuwa unampenda?
Likarango
Ukweli ni kuwa wanawake wanajua kutongosa Sana tu ila sio Directly ni indirectly.
Hawaonesh wazi wazi ..yupo boss kwenye ofisi mojà aliwahi kuwa ananiita ofisin age tuseme 33+ sasa
Anakuita Ana kukalisha kwenye kiti anakuambia subiria kuna Kazi namalizia Hapa kwenye laptop nikupatie una kaa wee, hadi karbu lisaa , watu wengne wanaingia anatatua shida zao ww, bado umekalia kiti tu ...ukitaka kuondoka ooh subiri.una haraka gani'? Nilipitia lakini... kisaikologia niliteseka maana huwezi mtongoza boss wako, pia ukitaka kuondoka hataki...watu wanaingia wanakuona umekalishwa tu kwenye kitu'.Daaah😭
.niishie 2 Hapa🙆

Usije ukajaribu. Mimi ukinitongoza nitakugonga na kulala mbele.
Kama sisi maboy tu hapo inawezekana amekutamani tu so anakua katimiziwa haja hapo
 
Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.

Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
kuwa mwanamke shida ipo kwenye nani unataka kuwa nae
 
Back
Top Bottom