Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Ngoja nikutongoze sweetheart...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikutongoze sweetheart...
mbona sisi maharage ya mbeya maji maramoja tuNtamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakufa na tai shingoni Huku ukishuhudia unayempenda yuko na Dem mwingine au anampata Dem mwingine, Huku wewe ukiendelea kung'aa sharubu tuu Kwa udomo zege wako, pengine ungemweka wazi una mhitaji angekuskilizaNasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Mwanaume hatongozwi. Asipoanza kunifungukia yeye ndio basi.Unakufa na tai shingoni Huku ukishuhudia unayempenda yuko na Dem mwingine au anampata Dem mwingine, Huku wewe ukiendelea kung'aa sharubu tuu Kwa udomo zege wako, pengine ungemweka wazi una mhitaji angekuskiliza
Hujui kuvunja barafu? Mtoe outWadada kuna ile time mkaka umemuelewa na unatamani awe boy wako ila ye hana habari na wewe mnafanyaje ili mkaka ajue kuwa unampenda?
😀😀😀 kwenye kufunguka aisee hapo ndio kwenye mtego, atakaemuanza mwenzake tu anajiweka upande dhaifu katika mahusiani.Nasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Kwa sasa kumtongoza mwanamke ni sawa na kujitakia kubeba shida zake tu. Akikuinyesha dalili tengeneza mazingira ya kula tunda kimasihala, kamwe usimtongoze ni hatari sana kwa mustakabali wa uchumi wakoIla anaweza kukuwekea mitego yote ukaona kabisa huyo ananitaka..sasa tabu inakuja pale unamface anaanza kuleta tena vimaringo ili aoneshe we ndo unamtaka zaid afu yeye wa thaman haswa...mi huwa ikifika stg hyo nakula buyu najifanya kama sijawahi hata kukujua....nongwa inaanzia hapo...anaanza kukutangaza kuwa huyu kaka anaringa....kumbe yy ndo kalianzisha
LikarangoWadada kuna ile time mkaka umemuelewa na unatamani awe boy wako ila ye hana habari na wewe mnafanyaje ili mkaka ajue kuwa unampenda?
Ukweli ni kuwa wanawake wanajua kutongosa Sana tu ila sio Directly ni indirectly.
Hawaonesh wazi wazi ..yupo boss kwenye ofisi mojà aliwahi kuwa ananiita ofisin age tuseme 33+ sasa
Anakuita Ana kukalisha kwenye kiti anakuambia subiria kuna Kazi namalizia Hapa kwenye laptop nikupatie una kaa wee, hadi karbu lisaa , watu wengne wanaingia anatatua shida zao ww, bado umekalia kiti tu ...ukitaka kuondoka ooh subiri.una haraka gani'? Nilipitia lakini... kisaikologia niliteseka maana huwezi mtongoza boss wako, pia ukitaka kuondoka hataki...watu wanaingia wanakuona umekalishwa tu kwenye kitu'.Daaah😭
.niishie 2 Hapa🙆
Kama sisi maboy tu hapo inawezekana amekutamani tu so anakua katimiziwa haja hapoUsije ukajaribu. Mimi ukinitongoza nitakugonga na kulala mbele.
kuwa mwanamke shida ipo kwenye nani unataka kuwa naeNtamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja nikufikirie kwanza 🤔🤔🤔Sasa mbona hujiongezii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuunga mkono kwa asilimia Zote...washaona wanaume kama chanzo chao Cha kipatoKwa sasa kumtongoza mwanamke ni sawa na kujitakia kubeba shida zake tu. Akikuinyesha dalili tengeneza mazingira ya kula tunda kimasihala, kamwe usimtongoze ni hatari sana kwa mustakabali wa uchumi wako
Eti eeeh?kuwa mwanamke shida ipo kwenye nani unataka kuwa nae
Hadi lini sasa?Ngoja nikufikirie kwanza [emoji848][emoji848][emoji848]
Wee sema kweli?Mbo
mbona sisi maharage ya mbeya maji maramoja tu
Au nasema uongo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa pagumu, ajiongeze yeye kukupa, ila kuomba hapana.Na akikubali inawezekana kumuomba hela ? [emoji38]
Hadi nitakapokuelewa😆Hadi lini sasa?
Em sema kweliii?Usije ukajaribu. Mimi ukinitongoza nitakugonga na kulala mbele.
MxxxxxiiiiiieeeeewHadi nitakapokuelewa[emoji38]