Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Unazingua wewe😂😂Huyu labda anibake tena nikiwa nmelewa vinginevyo sitaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazingua wewe😂😂Huyu labda anibake tena nikiwa nmelewa vinginevyo sitaki.
😂 kwanini ?Unazingua wewe😂😂
Si hivyo unavyo sema labda akubake, wamkondesha mtoto wa watu😂 kwanini ?
Kayataka mwenyewe acha akonde, kwa yule hapana, hapana.Si hivyo unavyo sema labda akubake, wamkondesha mtoto wa watu
karibu sana[emoji23][emoji23][emoji23] nakujia PM
SawaNasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Una dhambi wewe, bora kama umejua hivyo umwambie humpendi kuliko kumkalia kimya atajiongeza tu maana mapenzi hayalazimishwi.aje?
Ila wanawake mkitongoza mkikataliwa mnatia huruma sana, kuna mdada nikimuangalia anavyoteseka sijui nimuhurumie? Ila hapana
sasa nna dhambi gani? Atajiongeza si ni mtu mzima.Una dhambi wewe, bora kama umejua hivyo umwambie humpendi kuliko kumkalia kimya atajiongeza tu maana mapenzi hayalazimishwi.
I love youNasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Tatizo mkitakwa hamtakikisasa nna dhambi gani? Atajiongeza si ni mtu mzima.
Unaemtaka hakutaki, anaekutaka humtaki yani ni tafrani tupu.
Kivipi?Tatizo mkitakwa hamtakiki
😁kivumbisasa nna dhambi gani? Atajiongeza si ni mtu mzima.
Unaemtaka hakutaki, anaekutaka humtaki yani ni tafrani tupu.
😂 kupendwa raha😁kivumbi
Kama zipi we utajuaje?Mzee baba unaulizaje maswali ya kigoloko hivi...
Wanawake wakitupenda wanaume huwa wanaonesha ishara ambazo huwa ni kwa maneno au matendo...Mwanaume unapaswa kuzitambua hizo ishara...
Sio wakati wote wanaume huwa tunatongoza, kuna muda unaoneshwa green light nawe unanyoosha goti...
Kumbe ww ni dem! 🥲Nakutongoza mwenyewe lakini sio kama nyie katika njia zetu flan , eventually unakuja kujiona kidume wakati pyee pyeee tu
Mbona unanipenda na hujawahi nitongozaNamtongoza