Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mbona kama spidi ni kali sanaIla kwa tafsiri nyingine,kunikumbuka mimi kwa kitu kilichotokea 3yrs back inaonekana unanijali sana,upo umuhimu wangu kwako,wagombanao ndio wapendanao.
😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama spidi ni kali sanaIla kwa tafsiri nyingine,kunikumbuka mimi kwa kitu kilichotokea 3yrs back inaonekana unanijali sana,upo umuhimu wangu kwako,wagombanao ndio wapendanao.
😀 😀
Hongereni kwa upendoHii situation ilisha nitokea mabest zangu walini fosi ni mfungukie men,
Ni kamwambia na akakubali natuna penda hadi leo miaka 7 maana toka niko form 3
Nice one, Sounds goodHii situation ilisha nitokea mabest zangu walini fosi ni mfungukie men,
Ni kamwambia na akakubali natuna penda hadi leo miaka 7 maana toka niko form 3
Ili kuwa bahat tu, mwanaume akitongozwa na binti, basi humuona huyo binti malayaHongereni kwa upendo
Kwa hesabu za haraka haraka form 3 ulikua na umri wa miaka 17 ilikua 2017 hiyo,sasa ukijumlisha na hiyo miaka 7 yakupendana,umri wako utakua ni 24 yrs old.Hii situation ilisha nitokea mabest zangu walini fosi ni mfungukie men,
Ni kamwambia na akakubali natuna penda hadi leo miaka 7 maana toka niko form 3
Nimeoa mda mrefu sana nilikapa kampany kwa mwaka mzima kakaja kakapata mtusaaafi alafu ukamuacha 😂
Hiyo nzuri mkuu ila bado ukimuhitaji unapataNimeoa mda mrefu sana nilikapa kampany kwa mwaka mzima kakaja kakapata mtu
Sio wote inategemea na binti mwenyewe na tabia zake. Mfano huyu nnaemkazia ana mazoea sana na wanaume, anapenda ushikaji sana na wanaume kwahiyo simuoni kama ni ke wa kumzingatia.Ili kuwa bahat tu, mwanaume akitongozwa na binti, basi humuona huyo binti malaya
Sio kweli kwamba mkitutongoza tunawaona ni malaya. Inategemea sana na namna unavyomtongoza mwanaume.........ukinitongoza kimalaya malaya nakuchukulia hivo hivo ila ukinitongoza kiheshima nakuheshimuIli kuwa bahat tu, mwanaume akitongozwa na binti, basi humuona huyo binti malaya
Alianza ngono akiwa mdogo sanaKwa hesabu za haraka haraka form 3 ulikua na umri wa miaka 17 ilikua 2017 hiyo,sasa ukijumlisha na hiyo miaka 7 yakupendana,umri wako utakua ni 24 yrs old.
😀😀
Kwa mtandao hapana.Fungua pm sasa utongozwe we vipi?
Una madoido wewe😅Kwa mtandao hapana.
Sio kweli dada yangu, malaya ukimuona kwa macho na maneno yake utamjua.Ili kuwa bahat tu, mwanaume akitongozwa na binti, basi humuona huyo binti malaya
Kama hujihisi kumuhitaji muache asije juta mbeleni.aje?
Ila wanawake mkitongoza mkikataliwa mnatia huruma sana, kuna mdada nikimuangalia anavyoteseka sijui nimuhurumie? Ila hapana
Pole umekariri kwahiyo ukiwa na mpenz lazm m sex hakun vitu vingine vya kufanyaAlianza ngono akiwa mdogo sana
Kweli sio wore ni baadhi tu, ila mkubalie mwenzio sio vizuri😅Sio wote inategemea na binti mwenyewe na tabia zake. Mfano huyu nnaemkazia ana mazoea sana na wanaume, anapenda ushikaji sana na wanaume kwahiyo simuoni kama ni ke wa kumzingatia.
Yeah vipo mtafanya biashara. 🤓🤓Pole umekariri kwahiyo ukiwa na mpenz lazm m sex hakun vitu vingine vya kufanya
Kijiwe nongwaYeah vipo mtafanya biashara. 🤓🤓
Usichulie siriazi sana Mmy tunachangamsha kijiwe.
Si ndiyo hakuna kukaa kinyonge wala kupoa.Kijiwe nongwa