Wanawake bwana barabaran wote wazuri hamna mbaya njiani,mnanukia mnapendeza,mna mashauzi yani Full kujiamini ila kumbe Huko nyumbani kwenu mambo ni 1+1-2
1.Dressing Table yako : Wengi wenu huwa mkiwa mnatoka hamjuagi kupanga dressing table zenu baada ya kumaliza kuji podoa yani perfume,spray,poda yani full vagarant madai yenu mtasafisha mkirudi mshachelewa (uchafu huo)
2.Kabatini : yani wakati wakuvaa wanawake mnajua kupangua kabati zima,kila nguo mtest nyie Sawa hamna shida ila wengi wenu mkishapata nguo ya kuvaa kabati mnakuja kupanga mkirudi (uchafu huo)
3.Kitandani : mkiamka madai haraka nyingi,utaamka utavuta shuka huku na kule eti ndio umetandika kitanda unasepa (uchafu huo)
4.Soap dish : bafuni ina sabuni pembeni juu chini yani hadi ukienda ukiishika soap dish na yenyewe imegeuka sabuni kwa jinsi ilivyogandia gandia sabuni (uchafu huo) na soap Dish ya vyombo nayo Chafu hata haieleweki (uchafu huo)
5.Kioo chako cha dressing : wengi husafisha pale anapoweka vikorombwezo tu ila kufuta kiooo hamjui,hata mkifuta mtaacha kioo kina ramani kibao (uchafu huo)
6.Pants zenu : Madai yenu mnapenda rangi nyeupe ila tukianza kukagua sasa hivi mlio na pants nyeupe katika 10 ntawapata wawili,wengi wenu mmevaa rangi za maziwa maana zilikua nyeupe ila saivi ni za Kijivu (uchafu huo)
7.JIKI : Kama huna jiki kwako wewe ni Mchafu,ndio mana vi pants vyenu vina GINA....Mwanamke msafi Jiki hakosi.
8.Dustbin : Kama huna hii kitu ndani kwako/chumbani wewe ni Mchafu.
9.SUFURIA : ukimaliza kupika pilau,ugali,wali au chakula chochote chakushika sufuria halafu ukapakua chakula kikaisha then ukaosha vyombo vyote ila sufuria ya pilau/ugali/wali ukailoweka hivyo hivyo huo ni UCHAFU...Osha sufuria zote hadi yenye ukoko kisha isuuze then iloweke ikae na maji masafi hadi ukoko wa ndani ya maji uloshika sufuria unauona (huyo ndio mwanamke msafi)..ila kama unaloeka sufuria na mimaji michafu,au unaloeka sufuria ukiweka maji Ukoko hauonekani (huo uchafu)
10.Tissue : Kama hauna hizi jitambue tu kua wewe ni Mchafu,usitudanganye kila chakula wewe ukila unanawa mikono.
11.Mswaki : huo ulioswakia leo asubuhi kama unao tangu MARCH jua (uchafu huo)
12.Huna steel wire ndani ukitaka kuosha vyombo mpaka ukanunue (uchafu huo)
13.Shuka ulotandika leo kitandani ni la tangu J3 (UCHAFU HUO)
14.Ukibisha haya niliyoandika (uchafu huo)