Mwanamke kiasili akizini anatakiwa auwe lakini Mwanaume kama aliyemtia ni Binti basi anatakiwa amuoe tu kama atataka kuoa MKE Mwingine .
Lakini pia kizazi hiki Cha makalio makubwa baada ya kile Cha vipotable kitatuja kupata tabú sana wakati Wa uteeni mana wengi HAWANA Hata watoto na Watoto wao wengi wanazingirwa na Watu waovu wanaowafundisha Ushoga. Mwanamke Malaya hawezi kulea watoto mana muda Mwingi anawaza MICHEPUKO na kutelekeza Watoto kweye TV na Simu na wadada Wa KAZI na mhauz boi.
Uteeni Wanawake Wazinzi wasio na KAZI maalumu watateseka sana mana watakua HAWANA Fedha na watakimbiwa na wanaume WOTE mana kizazi cha wanaume wa Sasa kinataka kulelewa. Wakati huo makalio yatakua hayana mvuto na Manyonyo yatakua yameanguka na sura imechoka Huku KWENYE Pochi iliyokua inajaa Mapesa Kwa pesa za mizinga na kuhongwa Kwa ajili ya kucheza vikoba zikiwa zimeyeyuka.
Kifupi Mwanamke mwanye akili anatakiwa aolewe Hata MKE Wa Pili au Wa Tatu. HUKO mbeleni Kuna tatizo kubwa mana Wanawake Wazuri wanaongezeka Kila kukicha na wale Malaya Wa leo watapoteza mvuto muda mfupi sana ujao.
Tunaelekea kipindi Cha Biblia cha wanaume Saba kumganda Mwanaume mmoja Kwa gharama ZAO. Sasa wanawake wasio na pesa watakosa pesa za kumgharamikia Mwanaume.
Kwa Sasa kipindi hiki Cha mpito wanawake wanabinua makalio wakijisifia kuwa makalio ni mtaji Wa kuwarubuni wanaume. lakini HUKO tunakoenda lazima Neno litimie wanaume wengi watakua dhaifu kimwili ,KIROHO na kiuchumi kutokana na usawa KWENYE Ajira hivyo wanaume hawataweza kuwatosheleza wanawake huvyo wanaume kubaki kuwa bidhaa adimu itakayopatikana Kwa wanawake wenye Fedha. Wakati huo Hawa wabinua makalio Wa leo watakua wamechoka na HAWANA uwezo Wakuwalipa wanaume Ili watambulike na kupata Heshima Yao..
MWANAMKE anayejua thamani ya mwali wake anautunza.
Kitu chochote Cha thamani kinapatikana Kwa nadra na Kwa gharama kubwa . Huwezi kuokota almasi kwanye matope hovyohovyo.wanawake wengi Kwa sasa hawajui thamani ya vifungo vya mili yao. Yote ni Kuelekea kwenye Wakati Wa Wanawake kupata kiuisiyoisha ya ngono na wanaume Wa kuwapooza Kiu Yao watakua hawapo Hata Wa kulipwa.
Wazungu walipuuza desturi za wanawake kujiheshimu na kujitunza leo HAKUNA Tena kizazi cha binadamu Wa Kawaida Ulaya . Watu wanatengengezwa kama kuku Wa broiler. MTU Wa kutengenezewa hawezi kuendeleza kizazi kama kuku Wa kisasa.