Wanawake uzinzi una gharama kwenu kuliko wanaume

Wanawake uzinzi una gharama kwenu kuliko wanaume

Ka
Hahaha... yutong 20 na ziwa lisimame , mkuu una maskhara wewe.

Shida sio kuolewa , shida ndoa kudumu , mwanamke ukishatembea na wanaume zaidi ya kumi hauhitaji sababu kubwa ya kumcheat mume wako ... just simple reason upo guest.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kile kidemu cha Dylan kitoto cha Baraka, hata hakikuwa na sababu ya kucheat...
 
Back
Top Bottom