Wanawake Vs Wanaume...

Wanawake Vs Wanaume...

Hao wanaume unaodai hawawezi kupenda kabla hawajatamani ni wale wasiojijua na wala hawajui kupenda maana yake nini,mimi simo kwenye hilo kundi la wajinga!

kama hakuna kutamani, sasa mtu unapovutiwa na lady ni kitu gani basi kinachokufanya utake kuwa naye. Binafsi naona yote ni sawa
 
Ndyoko,sijui kuvutwa unakokuzungumzia wewe ni kupi,kuna kuvutwa na mwili wa mwanamke na kuna kuvutwa na nguvu za asili kunakosababishwa na nyie wawili kuwa kwenye masafa aina moja ya kufikiri na kutenda.Kuna mambo mengi kwenye suala hili ndo maana mnayachanganya,na elim yake ni pana sana,kutamani na kupenda hakuna mahusiano kabisa!
 
Km mnatutaman ndio mtupende,basi mjue tumegaramikiwa ndio maana mkatuona,
Iweje nyie mtuone tunapenda pesa ile hali pesa hiyo hiyo ndio imenifanya nipendeze mpaka unione?
Yani mnapenda vya bure sana,hakuna cha bure kwa sasa hata waliooa wanacha kodi ya meza.
Back to the topic:
Binadamu wote tunaongozwa na tamaa,
Ukinijia msafi unapendeza utanishawishi nisimame japo tusalimiane,
Na mie nikiwa niko mchafu na rafu yani sisomeki wala hutaniona hata km nitakuwa nimesimama pemben yako,

Sasa linapokuja swala la kupenda ni kwamba tamaa ndio hupelekea kupenda kwa thati,
Iwe kwa mwanamke au mwanaume,
Vile utakavyongea nami,tukiwa out utakavyonitreat na mengineyo,nitatamani kuwa nawe siku zote kitu kitakachonipelekea kukupenda,hali kadhalika kwa mwanaume,

Tatizo linakuja ni pale uongo unapoingia hapo,ndio kudanganyana inakuwa mmoja anakuta kile alichotama ni tofauti na matarajio na anakuwa hajapenda,kinachofata anaamua kudangaya then anamtafuna bint na kusepa zake,
Binti naye akikuta alichotaman ni tofauti naye anaigiza anajipatia mshiko na kusepa zake.
Haya ni kwa uelewa wangu.

upo juu,..big up
 
N.o money,no honey
f.edha makaratasi hasara roho
t.umia pesa ikuzoee
p.esa sabuni ya roho
h.akuna mwanamke mzuri bali mwanamke mrembo,mzuri pesa
 
Back
Top Bottom