Wanawake wa Arusha na SUBARU. Wanaume wa Dar na Passo

Wanawake wa Arusha na SUBARU. Wanaume wa Dar na Passo

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Maisha bhana.

Dsm ni ya wanaume wapenda vitorori kama vits passo starlet raumu funcago spacio ist na takataka kama hizo zenye engine capacity kama pikipiki za boxer au sanLg.

Mkoani Arusha na kaskazin kwa ujumla wanawake wanapenda sana Subaru gari za maana na zilizotulia tuli.Gari ngumu na ukiituma popote inaenda na kurudi.

1. Subaru Legacy

2. Subaru Imprezza

3. Subaru Forester

etc. Na ni tamu zaidi ikiwa na turbo. Inapanda mlima ikiwa kwenye 140km/hr kiroho safi.
 
Sijajua ulitaka kumaanisha nini mleta uzi uamzi wao siyo wako, na uamzi wako siyo wao, na vipato pia tumetofautiana so usikalili.
 
Maisha bhana.

Dsm ni ya wanaume wapenda vitorori kama vits passo starlet raumu funcago spacio ist na takataka kama hizo zenye engine capacity kama pikipiki za boxer au sanLg.

Mkoani Arusha na kaskazin kwa ujumla wanawake wanapenda sana Subaru gari za maana na zilizotulia tuli.Gari ngumu na ukiituma popote inaenda na kurudi.

1. Subaru Legacy

2. Subaru Imprezza

3. Subaru Forester

etc. Na ni tamu zaidi ikiwa na turbo. Inapanda mlima ikiwa kwenye 140km/hr kiroho safi.
Mkuu huu si wakati wa misifa ujasoma tu alama za nyakati wakiniona tu baba mwenye nyumba huyooo kafata kodi wee Mkuu operatorl wa shell akikuona tu baba mwenye subaru Huyoo ndio maisha lakini
 
Maisha bhana.

Dsm ni ya wanaume wapenda vitorori kama vits passo starlet raumu funcago spacio ist na takataka kama hizo zenye engine capacity kama pikipiki za boxer au sanLg.

Mkoani Arusha na kaskazin kwa ujumla wanawake wanapenda sana Subaru gari za maana na zilizotulia tuli.Gari ngumu na ukiituma popote inaenda na kurudi.

1. Subaru Legacy

2. Subaru Imprezza

3. Subaru Forester

etc. Na ni tamu zaidi ikiwa na turbo. Inapanda mlima ikiwa kwenye 140km/hr kiroho safi.
Unawalinganisha wanaume wa dar na wanawake wa kaskazini?
 
Hujaona mashangingi (VX,V8, Range Rover, Land Rover etc) mengi yalivyojazana Dar...


Cc: mahondaw
 
Hivi unakuwa na gari la CCM 5000 na movement zako ni za mjini tu la nini?
 
Maisha bhana.

Dsm ni ya wanaume wapenda vitorori kama vits passo starlet raumu funcago spacio ist na takataka kama hizo zenye engine capacity kama pikipiki za boxer au sanLg.

Mkoani Arusha na kaskazin kwa ujumla wanawake wanapenda sana Subaru gari za maana na zilizotulia tuli.Gari ngumu na ukiituma popote inaenda na kurudi.

1. Subaru Legacy

2. Subaru Imprezza

3. Subaru Forester

etc. Na ni tamu zaidi ikiwa na turbo. Inapanda mlima ikiwa kwenye 140km/hr kiroho safi.
Ongezea na haya...

1.Harrier new model

2.Vanguard

3.Prado new model

4.BMW model 2012

Nk...
 
Back
Top Bottom