Wanawake wa Dar es Salaam leo mmetisha sana

We mbaya Sana asee.
Nimeona una mshambulia msukuma wa watu anaesaka mke.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Dah hivi anaweza kuwa msukuma vile?ndio maana anafanya matendo ya kishujaa bila uoga
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Dah hivi anaweza kuwa msukuma vile?ndio maana anafanya matendo ya kishujaa bila uoga
Sukuma plus nyaturu.
Ushamba plus mselele kichwani
 
Kwani tenge ndio linapiga magoti mkuu!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚?
Haha ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚
sasa wanaovaa matenge kama hayo wanapiga magoti

Pili na zile underskirt nyeusi sijui kaniki tena nyingine zina nyavu nyavu.


 
Na tukioz tusinuke maaana tutapakwa vitunguu swaum tusitoe haruufii [emoji23]
Kiufup leo nisiku yetu wakina mama natumejua kuitendea hakiii dahh hadi rahaa โ€ฆwanawakee ni jeshi kubwa[emoji123][emoji123]palipo na mwanamama hakuna kinachoharibika

Happy womenโ€™s day !!!๐Ÿซถ[emoji2535]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ