Pisha wa mwenzako ipo siku na wenzako watapisha wakwako, ni sawa ukutane na mtu mwenye umri wa mamako anahitaji msaada unasema haumsaidii hajakuzaa! Tukiishi hivyo hatufiki, saidi wangu kesho mi ntasaidia wakoHicho kitu ndicho nilikuwa nakikataa na nitaendelea kukikataa, mwanamke hata kama ana mimba Siwezi kumpisha akae Mimba apewe na mwingine nipate shida mimi huo utumbo siufanyi.
.
Napisha wagonjwa tu bila kujali jinsia zao, mimba na uzee ni ndoto.
Means wanaume wa Dar wamewazoesha dada zao vikumbo vya chips yaiTatizo umelegea kijana kila anayekutana na kikumbo changu huwa anaacha tabia ya kupiga vikumbo watu
kikumbo kama nipo uwanjani nadinda
Tatizo msongamano baby, nifanye wa pekee uone vile nitakukera kwa kukutafuta.hunitafuti siku hizi
maana nilikua nakuwaza
Sijawahi kutegemea chochote kutoka kwa mwanaume wa Dar, na ninyi pia msilazimishe tuwapishe njiani tupigane vikumbo tuHiyo utasubiri sana, sikujui hunijui nauli nalipa mwenyewe na umeona gari limejaa umeamua kupanda, utapambana na hali yako labda awe bibi kizee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atasimama na kama una bata wako na kuku atakubebea akiwa amesimama.Mbona husemi ninyi tunavyogombania siti kwenye daladala, mwanaume wa dar hakubali eti aachie siti dada/ mama yake akae ila wa mkoani hawanaga ajizi anaweza kukuachia siti ye asimame toka Iringa hadi makambako [emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatakiwa akukatikie bhana bado habadili maana wapi inaingiaWanawake wa Dar ndiyo walivyo, hata mnavyofyatuana na wao wanataka waje juu inakuwa kama na yeye anakutia, mimi huwa nawakatalia nawambia tulia chini na usikatike tulia mimi ndiyo nakutia sio wewe unanitia mimi
Kwahiyo la kumweleza lipo si ndio!!!!hahahahahaha unataka espy aniue...! aku
Mbona wauliza hivyo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni wewe kwenye avi?
Vikumbo tunawatandika tuu hamna namnaSijawahi kutegemea chochote kutoka kwa mwanaume wa Dar, na ninyi pia msilazimishe tuwapishe njiani tupigane vikumbo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah una roho mbayaaHicho kitu ndicho nilikuwa nakikataa na nitaendelea kukikataa, mwanamke hata kama ana mimba Siwezi kumpisha akae Mimba apewe na mwingine nipate shida mimi huo utumbo siufanyi.
.
Napisha wagonjwa tu bila kujali jinsia zao, mimba na uzee ni ndoto.
[emoji23][emoji23][emoji23] taja vitano kwa harakaharaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah kipande hicho nimekikumbuka..naweza taja vituo vyote vya kutoka iringa had makambako[emoji23][emoji23][emoji23]
mi nilikuahidi utakuwa wa pekee kama moyoTatizo msongamano baby, nifanye wa pekee uone vile nitakukera kwa kukutafuta.
Yah utulivu ni muhimu asije akatibua wazungu kabla hela yangu haijaishaWanawake wa Dar ndiyo walivyo, hata mnavyofyatuana na wao wanataka waje juu inakuwa kama na yeye anakutia, mimi huwa nawakatalia nawambia tulia chini na usikatike tulia mimi ndiyo nakutia sio wewe unanitia mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona eeh? Hapana chezea wanaume wa mkoani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atasimama na kama una bata wako na kuku atakubebea akiwa amesimama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa Dar wanalazimisha kutongozwa, ndiyo maana akigundua unampotezea anakupiga kikumbo ili umuone japo umuombe namba ya simu.Wanaangalia na mindoko! Ujue wanawake wa Dar ni wana Confidence kama wanaume wa mikoani....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkwepa kodi bwanaWanawake wa Dar ndiyo walivyo, hata mnavyofyatuana na wao wanataka waje juu inakuwa kama na yeye anakutia, mimi huwa nawakatalia nawambia tulia chini na usikatike tulia mimi ndiyo nakutia sio wewe unanitia mimi