MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,760
1.Mnakatiwa katiwa mboga za majani magengeni kwani kazi hii hamiwez wenyewe kama wenzenu wa mikoani?
2. hali katika mabucha pia si shwari mkienda kule mtaomba mkatiwekatiwe nyama hata kwa kutozwa pesa ya ziada
3. maeneo ya soko la double kibin tandika kuna msururu wa wanawake wakingoja huduma ya kukuniwa nazi mmerogwa? kazi hii hamuiwezi?
4. kusugua magaga na kucha zenu nayo imekua mtihani kwenu mpaka apite kijana msafisha kucga awashkeshke kucha na visgino vyenu ambavyo kiintelijensia ni sehemu za siri
5.Sawa yote hayo fanyeni ila ni kwa nini sasa mnavaa kucha bandia, kope bandia, shepu bandia, rangi bandia, nywele bandia naskia pia mnatega b**kra bandia........Mtatuwuwa sisi jameni
2. hali katika mabucha pia si shwari mkienda kule mtaomba mkatiwekatiwe nyama hata kwa kutozwa pesa ya ziada
3. maeneo ya soko la double kibin tandika kuna msururu wa wanawake wakingoja huduma ya kukuniwa nazi mmerogwa? kazi hii hamuiwezi?
4. kusugua magaga na kucha zenu nayo imekua mtihani kwenu mpaka apite kijana msafisha kucga awashkeshke kucha na visgino vyenu ambavyo kiintelijensia ni sehemu za siri
5.Sawa yote hayo fanyeni ila ni kwa nini sasa mnavaa kucha bandia, kope bandia, shepu bandia, rangi bandia, nywele bandia naskia pia mnatega b**kra bandia........Mtatuwuwa sisi jameni