Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
😂😂😂kunooogaa bibi wewee..karibu ntwaraa amwali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti , ntwara huko ni balaa
Wewe hupendi kuitwa baby nisaidie kukata nyanya hapo na hoho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oh yeahh am cooomin"...Njoo unikunie mrs vein mwenyewe
Kwakweli kunooogaa na mayanga huko[emoji23][emoji23][emoji23]kunooogaa bibi wewee..karibu ntwaraa amwali
Kuitwa baby napenda.Wewe hupendi kuitwa baby nisaidie kukata nyanya hapo na hoho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona eee mie huwa nikisoma tu wanaume wa dar natizama kulia kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Bora wanaume wa Dar tumpumzike kidogo,
Mfyuuuu😂😂😂😂em tuache hukooKwakweli kunooogaa na mayanga huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yakawaida hayo, halafu huwa tuna huruma hatuwapi kaziKuitwa baby napenda.
Sema najua nikiitwa baby tu, kuna msaada natakiwa niutoe (kama kukata nyanya na hoho). Ndo maana sometimes naogopa kuitwa baby coz najua kinachofuata[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baa baaaasiMfyuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]em tuache hukoo
😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baa baaaasi
Hakika, nimeona mapendeko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yakawaida hayo, halafu huwa tuna huruma hatuwapi kazi
ngumu ni hizo tu umeona mapendeko yalivyo
Mkiwa mtu 2 hapo nyumbani hivyo vitu lazima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika, nimeona mapendeko[emoji23][emoji23]
Sawa, leo unapika nini na ungependa nikusaidie nn?. Nianze kuchambua mchele au nisukume chapati[emoji85][emoji85]Mkiwa mtu 2 hapo nyumbani hivyo vitu lazima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahizi tayari nishaandaa wewe mezani utanisaidia kumimina maziwa kwenye vikombe basiSawa, leo unapika nini na ungependa nikusaidie nn?. Nianze kuchambua mchele au nisukume chapati[emoji85][emoji85]
Sawa, mimi usinitilie sukari kwenye maziwa. Tia asali kwenye sahani tule na mkate. Nikusaidie kuchukua juice kwa friza?? au utaenda wewe[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahizi tayari nishaandaa wewe mezani utanisaidia kumimina maziwa kwenye vikombe basi
Sasa hizo ndiyo kazi zakunisaidia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namaliza kundaa huku nawe tayari juice ipo mezaniSawa, mimi usinitilie sukari kwenye maziwa. Tia asali kwenye sahani tule na mkate. Nikusaidie kuchukua juice kwa friza?? au utaenda wewe[emoji85][emoji85]
Tuipe neno 'kukuna" heshima.Sisi huku ng'apa tunakwea wenyewe kwenye minazi...halafu tunakunia huko huko juu..
Leo umenipa kazi nyingi sana mpk mgongo unaniuma[emoji85][emoji85] naandaa juice tu, nimeshachoka siendelei tena panatoshaSasa hizo ndiyo kazi zakunisaidia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namaliza kundaa huku nawe tayari juice ipo mezani