Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
kumekuwa na wimbi la kutusengenya sana wanaume wa huu mkoa wetu pendwa wa dar..
Sasa hembu leo tuwacheki hawa dada zetu.. wanawake wa dar.. hivi viumbe ni hatari aisee yani ukiweza kwenda navyo sawa kwa miaka mitatu basi ww ni bingwa
tena unaweza hata kuishi mbuga ya wanyama ya serengeti na wale chui wakawa kama binamu zako tu only if ukiweza kwenda sawa na wanawake wa dar kwa miaka mitatu
nahisi wanajukwaa mnaweza kuwa mashahidi wa hiki kitu kuhusu hawa warembo wa huu mkoa pendwa mnaweza kujikuta group zima kawachanganya na kwa kila mtu anakwambia huu uhusiano uwe siri kwa sababu moja mbili tatu basi wewe unajiona mjanja unagegeda mtoto mzur wenzio wanayemtamani kumbe na mwenzako naye anajiona mjanja mjanja hivyohivyo hahaha
sasa kioja ni siku mkigundua yani nyie ndio mtahamaki lakin yeye walaaa anachukulia simple tu ndo kwanza anachukua time zake anaenda kupiga damage sehemu nyingine
imetutokea hii mimi na washkaj zangu watatu tumejikuta wote tunagegeda demu mmoja na kila mtu demu alimwambia oooh huu uhusiano mimi sitaki uwe public kihivyo kwa visababu ambavyo huwez chomoa yan kumbe anatuzunguka wote... tumejikuta tunasikitika alafu wote tukacheka
mmoja wetu alipotoa wazo tukapime tulimpa bonge la tusiii tunaendaje kupima na hatuumwi aalaaaaaah... hatuna kiherehere cha hivyo sisi
Sasa hembu leo tuwacheki hawa dada zetu.. wanawake wa dar.. hivi viumbe ni hatari aisee yani ukiweza kwenda navyo sawa kwa miaka mitatu basi ww ni bingwa
tena unaweza hata kuishi mbuga ya wanyama ya serengeti na wale chui wakawa kama binamu zako tu only if ukiweza kwenda sawa na wanawake wa dar kwa miaka mitatu
nahisi wanajukwaa mnaweza kuwa mashahidi wa hiki kitu kuhusu hawa warembo wa huu mkoa pendwa mnaweza kujikuta group zima kawachanganya na kwa kila mtu anakwambia huu uhusiano uwe siri kwa sababu moja mbili tatu basi wewe unajiona mjanja unagegeda mtoto mzur wenzio wanayemtamani kumbe na mwenzako naye anajiona mjanja mjanja hivyohivyo hahaha
sasa kioja ni siku mkigundua yani nyie ndio mtahamaki lakin yeye walaaa anachukulia simple tu ndo kwanza anachukua time zake anaenda kupiga damage sehemu nyingine
imetutokea hii mimi na washkaj zangu watatu tumejikuta wote tunagegeda demu mmoja na kila mtu demu alimwambia oooh huu uhusiano mimi sitaki uwe public kihivyo kwa visababu ambavyo huwez chomoa yan kumbe anatuzunguka wote... tumejikuta tunasikitika alafu wote tukacheka
mmoja wetu alipotoa wazo tukapime tulimpa bonge la tusiii tunaendaje kupima na hatuumwi aalaaaaaah... hatuna kiherehere cha hivyo sisi