Wanawake wa Dar tukutane hapa kujadili mstakabali wa wanaume wa Kinondoni

Wanawake wa Dar tukutane hapa kujadili mstakabali wa wanaume wa Kinondoni

Kumbe tujisogeze sisi wa mikoani tukajipigie mijimama na misista du huko
 
Ukisoma claims za kugawanyika kwa sokwe na binadamu, mambo yalianza hivi hivi.
 
Jamani hamhitaji soda na karanga wakati kikao kinaendelea?
 
Wanawake wa Dar,tukutane hapa tujadili mstakabali wa wanaume wa Kinondoni

Hali si shwari jamani,tunawasaidiaje jamani

Kwa utafiti huu kuwa "Wanaume wa Kinondoni wana matatizo ya nguvu za kiume"

Tutaishije jamani, wanaume wa mikoani karibuni KinondoniView attachment 1101948View attachment 1101950
Kikubwa zaidi wanawake was kinondoni mmebweteka kwani kwani unapanda gari ngapi ili ufike Temeke....
Njo TMK wanaume huku tukuonyeshe jinsi wanaume wa TMK tulivyo... Wengi wao ndio wanatuzalilisha wanaume wa Dar kwa kuwa mashoga.. matejah.. na kushindia chips kuku.. unahisi nguvu watatoa wapi...
USHAULI kikubwa ni kufanya mazoezi na kuondoa vitambi visivyo vya lazima.. km wenzenu TMK wanaume tunavyo fanya
 
Back
Top Bottom