Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
yaan alosema wanaume wa dar ni shida kweli alifanya utafiti,
wanaume wa dar wana vitambi mbinuko huku wengi ni 30+ kula kulala, hawajui hata bei ya unit ya umeme ila madoido kwa keyboard hatari[emoji15] [emoji38] [emoji38]
wanaume wa dar wana vitambi mbinuko huku wengi ni 30+ kula kulala, hawajui hata bei ya unit ya umeme ila madoido kwa keyboard hatari[emoji15] [emoji38] [emoji38]