Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
kwenye kucha hapo balaa,bint anakucha kama jini mahaba,sasa wakiwa kule faragha si balaa tupuu unahis kama anakufinya vile kila mkono unapopita[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ,kweli mchina kiboko,tako,kope nywele,kucha,rangi,hatariiii tupuuMawigi iwe mara moja moja,either la kuvaa or kushonea ama kubandika..Co masaa 24 wiki nzima,miezi 12 uko na mawigi kichwani tu.Haipendezi
wengi hawajiamini na urembo wao wa asili wanauharibu sabb ya hivi vitu fekero..Utakuta anaweka wigi mwezi mzima sasa zile nywele zake za asili zinakuwa zimebanwa,hazipat mafuta,mba kibao na mwisho zinaharibika..Vile vile kucha za bandia zinaharibu kucha zako halisi,mikorogo,kope,makalio,mboni,...Jikubali kama ulivo
Hahaha hawajiamini sijui kwa lipiJuzi dada mmoja kanishangaza sana
Nilikuwa nimekaa sinza sehemu flani, akaja kwenye gari na jamaa mmoja,
Dada nywele zake zilikuwa fupi, nzuri na zisizonashida
Ghafla namuona kupitia kioo cha mbele cha gari yao anakazana kuvaa wigi, linamgomea ila analazimisha
Alipoona halikai nikaona wameondoka eneo la tukio
Tutake radhiyaan alosema wanaume wa dar ni shida kweli alifanya utafiti,
wanaume wa dar wana vitambi mbinuko huku wengi ni 30+ kula kulala, hawajui hata bei ya unit ya umeme ila madoido kwa keyboard hatari[emoji15] [emoji38] [emoji38]