Wanawake wa Dar

Wanawake wa Dar

Dar cpapendi kuishi wanahishi kwa shida sana kula mara moja wanakla jioni sa 1 ndo mazima chakla kidogo maji lita 10 wanazuga na vimatunda kama unataka kupiga Papuchi basi unatenga siku nzima muda mwingi kwenye foleni
 
Na kupiga matiti jeki
images-136.jpg
 
Kama mbwai na iwe mbwai. Mara nyingi nimesoma kuhusu wanaume wa dar na vituko vyao. Nimejaribu kuangalia wake zao wakoje. mmmh mie nimegundua haya, sijui wewe umegundua nini.....
Wanaagizi mahousegirl na kuanza kuwatumikisha bila huruma tena mkiwadhurumu mishahara yao.
Ni wambea na wavivu hata kutandika vitanda vyao ni shida
Kutwa kujipodoa tuuu na kuhangaika na fasheni
Wanakopa hadi vikoba ili tu wajitengeneze sura zao na sio kufanya biashara au chochote cha manufaa
wanajifanya hawajui kulima na hawajazoea shida ingawa wengi wanaishi kwa shida.
Hili povu si bure. Ngoja waje[emoji85] [emoji85] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji87]
 
Hauko mbali sana na ukweli lakini sisi wanaume wa Dar hatuangalii hayo sijui umbeya uvivu sisi tunaangalia Reception
 
Wanatumia zaidi principle ya mafiga matatu, ana mume ili kujenga heshima ameolewa, anabwana muuza genge sokoni ili akienda sokoni nyanya, vitunguu na mengineyo anachukua bure, pia ana pedeshee kwa ajili ya kununua vipodozi, kutoa hela ya vikoba, na kumtoa out.
 
duniani iwekwe tuzo za wachukiaji bongo kuna watu wanavipaji (mnamchukia hadi mleta mada)
 
Kama mbwai na iwe mbwai. Mara nyingi nimesoma kuhusu wanaume wa dar na vituko vyao. Nimejaribu kuangalia wake zao wakoje. mmmh mie nimegundua haya, sijui wewe umegundua nini.....
Wanaagizi mahousegirl na kuanza kuwatumikisha bila huruma tena mkiwadhurumu mishahara yao.
Ni wambea na wavivu hata kutandika vitanda vyao ni shida
Kutwa kujipodoa tuuu na kuhangaika na fasheni
Wanakopa hadi vikoba ili tu wajitengeneze sura zao na sio kufanya biashara au chochote cha manufaa
wanajifanya hawajui kulima na hawajazoea shida ingawa wengi wanaishi kwa shida.
 
Back
Top Bottom