Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
Na kupiga matiti jekiKweli kabisa
Wanawake balaa hawa.... wanakesha wanatingisha makalio hadharani na kuwaacha waume zao wanahudumiwa na mahousegirl nyumbani.
Na kupiga matiti jeki
Utatusumbua mkuu.Nipo mkoani natafuta maisha, ila nina ndoto ya kuishi DSM siku moja. Kama noma na iwe noma.
Kwa nini mkuu, nasikia mjini chuo kikuu, nadhani nikifanikiwa kufika mjini Dar,Utatusumbua mkuu.
Cjaona hii mambo siku nyingi tangu nitoke dar japo ulikua ulevi wangu
Hili povu si bure. Ngoja waje[emoji85] [emoji85] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji87]Kama mbwai na iwe mbwai. Mara nyingi nimesoma kuhusu wanaume wa dar na vituko vyao. Nimejaribu kuangalia wake zao wakoje. mmmh mie nimegundua haya, sijui wewe umegundua nini.....
Wanaagizi mahousegirl na kuanza kuwatumikisha bila huruma tena mkiwadhurumu mishahara yao.
Ni wambea na wavivu hata kutandika vitanda vyao ni shida
Kutwa kujipodoa tuuu na kuhangaika na fasheni
Wanakopa hadi vikoba ili tu wajitengeneze sura zao na sio kufanya biashara au chochote cha manufaa
wanajifanya hawajui kulima na hawajazoea shida ingawa wengi wanaishi kwa shida.
Mhhhh eti we we c mwanamke was Dar unaona aibu wakati unakaa magomeni mapipa mkuu!!ni umbea. Lakini mimi sio mwanamke wa DAR
Usinidhalilishe bana. Mimi mwanamke wa mkoani. Tena makao makuu ya nchi [emoji3][emoji3][emoji3]Mhhhh eti we we c mwanamke was Dar unaona aibu wakati unakaa magomeni mapipa mkuu!!
Unatumia Wi-fi mkuu???Yangu chaji tu
Hapana natumia mobile networkUnatumia Wi-fi mkuu???
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe hii ndo jeki. Yaani nikiona hiyo mimi hoi. Wanatuumiza wengine akkhhhh!!!
Kama mbwai na iwe mbwai. Mara nyingi nimesoma kuhusu wanaume wa dar na vituko vyao. Nimejaribu kuangalia wake zao wakoje. mmmh mie nimegundua haya, sijui wewe umegundua nini.....
Wanaagizi mahousegirl na kuanza kuwatumikisha bila huruma tena mkiwadhurumu mishahara yao.
Ni wambea na wavivu hata kutandika vitanda vyao ni shida
Kutwa kujipodoa tuuu na kuhangaika na fasheni
Wanakopa hadi vikoba ili tu wajitengeneze sura zao na sio kufanya biashara au chochote cha manufaa
wanajifanya hawajui kulima na hawajazoea shida ingawa wengi wanaishi kwa shida.