Wanawake wa dizaini hii wapo?

Wanawake wa dizaini hii wapo?

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] u made my day shem
Nimeskia sauti yako nikageuka huku na huku nikajua una shemeji mwingine.

Kushtuka kumbe ni mimi.
 
Nimeskia sauti yako nikageuka huku na huku nikajua una shemeji mwingine.

Kushtuka kumbe ni mimi.
Wewe OG wengine wa kufikia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
 
Wapoo...ila wanapataga shida sana mpaka mission ya kuolewa iwe possible.
 
wapo wengi wanatunza heshima y wazazi na waume zao badae sio kila mwanamke yupo kingono hapana ndg wapo wanaomcha mungu hawafanyi upuuzi huo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wewe OG wengine wa kufikia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
Nilishangaa eti..


Eeh hebu sema toka lini tumeanza kuchekana mawazo. Maana nimeandika ukanicheka shem
 
Wengi saiz washatumika ko wanachukulia hlo ka kigezo cha kuja kufia kwako ili ukija kuopta umeoa usishangae sabab umeoa ila wengi wanakua ni wale walotumika sanas
 
  • Thanks
Reactions: SDG
MIAKA YA SIKU HIZI NI TOFAUTI NA ZAMANI.

SASA HIVI NI LAZIMA UMUONJE MDADA NA KUHAKIKISHA UNAMPA MIMBA NA NDOA NA HUU NDO MSINGI MKUU

NA WATU WENGI WANAFANYA HIVI KWA SABABU ILI KUEPUKANA NA TATIZO LA UGUMBA
Huko mbele tutatafuta njia ya kidemokrasia ya kukagua marinda kama yapo (sio kwa kuzibua)

Na issue ya ugumba nadhan kuna dhehubu hawataki kuungisha ndoa za wenye mimba na watoto, mtaoana kawaida j2 ktk ibada ya wote.
Sasa dawa yao nakuandikisha mkataba wewe mchumba kua ukishindwa kuzaa nakurudisha kwenu ukamsaidie mamako kuosha vyombo.
 
Back
Top Bottom