Huon ametokea call me Jout of topic
Ila kuna wauza karanga wanaogawa za kuonja kwanzaSijaona muuza maembe anaeruhusu uonje maembe yake kwanza.
Hamna. Wakati wewe unasubirishwa,wenzio wanatafuna kwa fujo!Mi nataka kuulza eti kuna baadhi ya wanawake kufanya nao mapenzi mpaka uoe? na je inaleta sense kwel!
Wengine wakishaonja hawanunui.Ila kuna wauza karanga wanaogawa za kuonja kwanza
Hio ingine nani kathibitisha ni pipi? Inaweza kuwa kokoto. Hapo pipi ni moja tu until proven otherwise.View attachment 488535.Mkuu baina ya pipi hizi mbili utachagua ipi
Akili yako ya 1 MB ndio inakushauri hivyoout of topic
Sasa hapo inategemea na maandalizi...ukiwaonjesha kitu kibovu ustarajie kununuaWengine wakishaonja hawanunui.
MPENZI MTAZAMAJI! hahahahahaaaa kama kwenye tvso yeye anakua anaogopa kuachwa, je utaendelea kuwa mpenz mtazamaji?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimefurah shem loooh naanzaje kukucheka kwa mfanoNilishangaa eti..
Eeh hebu sema toka lini tumeanza kuchekana mawazo. Maana nimeandika ukanicheka shem
Mmekua maembe siku hizi ehSijaona muuza maembe anaeruhusu uonje maembe yake kwanza.
Acha kufananisha maembe na mambo ya kijingaSijaona muuza maembe anaeruhusu uonje maembe yake kwanza.
Kwani ukifika dukani unaruhusiwa kula embe ndiyo ulilinunue?
Lazima ule kwanza ili tujue limeonza ama vipiKwani ukifika dukani unaruhusiwa kula embe ndiyo ulilinunue?
View attachment 488535.Mkuu baina ya pipi hizi mbili utachagua ipi
Mi nataka kuulza eti kuna baadhi ya wanawake kufanya nao mapenzi mpaka uoe? na je inaleta sense kwel!
Hahaha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] u made my day shem