Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Akifungua tu nishtue[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Kuna hela zake alinikopesha nataka nimrudishie.
Uyo zake lazma zije nachatigi nae sasa ww ambae hatujawai chat imekula kwako [emoji28]
 
Hahahahaha sasa nawewe wakitaka kukukopa hutaki....

Usikwepe mishale sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hamna wangu!

Mie tu Pm sipati na sijawahi pata PM hata kwa bahati mbaya!

So nimeifunga maana haina faida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…