Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

[emoji86] [emoji86] [emoji86] kwa iyo eve nami ushanipa ngoma
 
shame on him!!!

ukute ana watoto kabisa!!
nyau kweli huyoo!!

[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah!zangu huna evaa!![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] skrin shot
Ha Ha Ha nipo full nna koba la umbea
 
Mimi siwezi kuchukulia poa mtu aliyenidhalilisha. I still hold grudges aisee, yani mtu amesoma na ameelimika kabisa anatoa mambo tuliyochat private..nah! Bahati mbaya huwa watu hawaonani, ningemlamba konzi hatari!!
Aah sometimes inabidi uchukulie tu vitu poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…