wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

Ahahaaaaaa! le BISHANGA LE BASHAIJA FATAKI LA TANDALE Mbona unaleta mambo ya hausimami hausimiki hapa kalagabao umefulia wewe hautudai hatukudai kazi yako copy and paste nenda kaazime guta kwa ERICK52 ukambebe huyo m-asia wako
Tena mwambie aje achukue bure kabisa sasa hivi....
Halafu The secretary unateseka na haka kajamaa?
 
Last edited by a moderator:

shimo la panya halizibwi kwa mkate babu.hivi ni jukwaa gani we unaweza kulihimili ikiwa la kule chini kabisa ulipofika tu kwa uchu wako ukapata concussion ya ile kitu
 
He he he he, pole weee
Kutesa kwa zamu, ulinimimina kwa kunisasambua
Wamekutenda hao mamodo uliowakimbilia
Ukasema nimezeeka sijui hata kula kwa uma na kisu.

Pole zako, naijia picha yangu
 
He he he he, pole weee
Kutesa kwa zamu, ulinimimina kwa kunisasambua
Wamekutenda hao mamodo uliowakimbilia
Ukasema nimezeeka sijui hata kula kwa uma na kisu.

Pole zako, naijia picha yangu
Shikamoo Kongosho
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh. kweli mamito Amy kakunyosha papito.

unatamani lakini unaogopa kushibisha tamaa yako.
Hahahahaaaaa Erotica bhana....tena amenipa probation isiyo na muda wa kuisha so napata shida sana
Sijui nifunguke tu..lol
Ngoja niwe na subira kwanza
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…