Hahahahaaaaa Erotica bhana....tena amenipa probation isiyo na muda wa kuisha so napata shida sana
Sijui nifunguke tu..lol
Ngoja niwe na subira kwanza
Hahahahaaaa dawa ya kutokamatika ni hii kujifanya malaikaEric ina maana ww sio mjanja wa kumingle? unapungua mvuto kwangu..
mwanaume lazima ujuwe kumhandle mkeo na mahawara bila kugonganisha papito.
ukiwa mzembe wa hivo utatukosanisha kila siku. mie hapa nahama, ngoja nijibanze tu kwa tajiri la kihaya.
Duh hahahaaaaa uzuri nafurahi hujawahi kujipeleka kwa bibie wangu coz ningekutoa bushaHuyo ndo ame top list ya walengwa.
Kaka pole sana. Ulivamia bahari pasi na kujihadhari, kuna papa na nyangumi. Ungemuagiza mzazi akupostie binti swaafi kutoka kanyigo, mpaka wamjanjarue umri umeshasogea.
Ahahaaaaaa! le BISHANGA LE BASHAIJA FATAKI LA TANDALE Mbona unaleta mambo ya hausimami hausimiki hapa kalagabao umefulia wewe hautudai hatukudai kazi yako copy and paste nenda kaazime guta kwa ERICK52 ukambebe huyo m-asia wako
Tena mwambie aje achukue bure kabisa sasa hivi....
Halafu The secretary unateseka na haka kajamaa?