Hahahahaaa wameniuliza eti Did you mean 'Bishanga Vibuti' ?Wataka kunjua? Embu gugo 'bishanga abashaije ayanyampile olwazi lukatika'.
Wenzako tunahonga jezi za chelseaVitz nini bana,wanaume tunahonga hadi maSL class.
@Erickb52 labda aende kule kwenye jlu labda atapata mwenye kamba mguuni amfanye mkewe, hawa wa humu mhhhhhhhHahahaa anaweza siunajua hawa hawaaminiki
Karibu darling,hutakaa ujutie uamuzi wako,weekend wapi twende ukapate raha,chagua sehemu ya karibu mombasa? Nairobi? Serengeti? Zanzibar? Ruaha? Baby nijibu haraka niwahi booking coastal air,achana na malofa hawa kina erick watakulostisha tu.Eric ina maana ww sio mjanja wa kumingle? unapungua mvuto kwangu..
mwanaume lazima ujuwe kumhandle mkeo na mahawara bila kugonganisha papito.
ukiwa mzembe wa hivo utatukosanisha kila siku. mie hapa nahama, ngoja nijibanze tu kwa tajiri la kihaya.