Nje ya mada, Jesse Pinkman na Mr White wameitendea haki ile movie. Nimeingalia kama mara mbili hivi, kuna scenario Jesse yuko hospitali baada ya kupigwa na Hank. Jesse alikua anavuta sigara eneo ambalo haliruhusiwi muuguzi mmoja akaja kumwambia hutakiwi kuvutia hapa,, ha ha hilo jibu la Pinkman ni balaa!!Mwanangu hela yote uliyopiga na Jesse Pinkman bado tu unanyamazia watu
Anapigana vita kwenye meseji ya mimi tuMsichukulie mambo siriazi kihivyo. Huyu ambaye hajajibu hujui vita anavyopigana....
Haya vizuri karibu tena jamvini, muda sio mrefu secretary POMPEO ataleta kifungua kinywa.
ShukraniHaya vizuri karibu tena jamvini, muda sio mrefu secretary POMPEO ataleta kifungua kinywa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.
Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!
Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.
Nyie ndio kimbilio letu hapa JF
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli na sasa hivi ndio zao, ilishawah kukukuta nini hiyo?Hawawezi kukujibu kwa sababu hawawezi kukuroga kupitia PM ya JF, waoa wanataka muonane ana kwa ana ili wakuroge uwe kitega uchumi wao.
[emoji23][emoji23] kifungua kinywa ndio kitu gani? Sitoi chai za bure mimiHaya vizuri karibu tena jamvini, muda sio mrefu secretary POMPEO ataleta kifungua kinywa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee alikua vzurThe late Kenny Rogers: The Dreamer
Don't make a promise you can't fulfill...
Hapo sipakumbuki vzur ila nakumbuka dogo alikua amevimba mbaya, akatolewa nnje na wahuni wake na wheelchair kaenda kuvuta sigara nnje anakutana na hank nae analetea hospitalNje ya mada, Jesse Pinkman na Mr White wameitendea haki ile movie. Nimeingalia kama mara mbili hivi, kuna scenario Jesse yuko hospitali baada ya kupigwa na Hank. Jesse alikua anavuta sigara eneo ambalo haliruhusiwi muuguzi mmoja akaja kumwambia hutakiwi kuvutia hapa,, ha ha hilo jibu la Pinkman ni balaa!!
Unaikumbuka hiyo sehemu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Hata madem wa tanga ndio zso! Ila sasa hiv ni wote tuu haiangalii kabilaImemkuta mfanyakazi mwenzetu baada ya kuchotwa akili na demu wake wa pembeni (Mpare/Mchagga)....jamaa alimwacha mkewe wa ndoa na watoto karibia mwaka mzima. Ndugu wakachunguza wakaambiwa alilishwa LIMBWATA na huyo demu. Wakamuokoa kwa njia wanayojuwa wenyewe, jamaa alipozinduka akakiri kuwa alikuwa hajuwi kama aliisaliti familia yake na hakujuwa kwanini alikuwa anaishi na yule changudoa wa Kilimanjaro.
Imemkuta mfanyakazi mwenzetu baada ya kuchotwa akili na demu wake wa pembeni (Mpare/Mchagga)....jamaa alimwacha mkewe wa ndoa na watoto karibia mwaka mzima. Ndugu wakachunguza wakaambiwa alilishwa LIMBWATA na huyo demu. Wakamuokoa kwa njia wanayojuwa wenyewe, jamaa alipozinduka akakiri kuwa alikuwa hajuwi kama aliisaliti familia yake na hakujuwa kwanini alikuwa anaishi na yule changudoa wa Kilimanjaro.