Blue ticks huwa zinaua watu kihisia
Lakini sio level za prison break au unasemajeKuna member aliwahi kuweka uzi kuhusu hiyo movie, kwa maoni yangu zile zilikua critics za kawaida hii ya kudai maigizo mengi sio kweli.
Niliitafuta hiyo movie baada ya kusoma uzi wa series "special thread" kwangu mimi ni movie nzuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini?Mimi mwanzoni nilidhani wewe ni robot.
Excuse my manners
hapana mkuu ni kukosa akili kwanini umeseme umeolewa na huku hujaolewa kanini usiwe mkweli kusema sitaki mahusiano mtu unaelewa worst anakuja kusema nilikuwa nakutania mkuu wewe unaona huyo mtu yuko sawa??Yani umekua twisted kidogo na wewe umeingia kingi, hana akili how? Yani kusema alidanganya kua kaolewa ni kipimo cha wewe kumuona hana akili, labda hukumpenda mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kumpenda mtu unaweza kumpenda lakini ukiona hajielewi inabidi ukocontrol na hakuna mwanmke ambaye mwanaume anamuheshimu kama yule amabaye yuko on point na mwenye msimamo sasa hizi longo longo za kitoto na huku ni mama mtu mzima ni upuuzi kama alikuwa hataki mahusiano anasema mimi sitaki...halafu pia anakuweka kwenye mashaka je kama kaolewa kweli inakuwaje ...sometimes tuwe tunatumia akiliulikua hujampenda tuu
PB ni nzuri kwa nyakati zake, theme ya PB na Money heist ni tofauti. PB inahusisha visa vingi na vyote vilikuwa engineered na kutoroka gerezani, money heist inahusu mkakati wa kuiba pesa.
Poa mkuuPB ni nzuri kwa nyakati zake, theme ya PB na Money heist ni tofauti. PB inahusisha visa vingi na vyote vilikuwa engineered na kutoroka gerezani, money heist inahusu mkakati wa kuiba pesa.
Sasa hizo ni muvi mbili tofauti na kila moja inavionjo vyake, nakushauri uangalie na money heist iko safi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote tunadanganya kwa nyakati tofauti, point ni kuwa motive ya kudanganya ni ipi? Na je uliigundua hiyo motive ina athari kwako? Mambo mengine unapotezea tu.hapana mkuu ni kukosa akili kwanini umeseme umeolewa na huku hujaolewa kanini usiwe mkweli kusema sitaki mahusiano mtu unaelewa worst anakuja kusema nilikuwa nakutania mkuu wewe unaona huyo mtu yuko sawa??
ID za hapa hazireflect maisha halis ya mtumiaji, we're behind the keyboard broIngawa hatuonani ila michango yetu kwa kiasi fulani inaonesha personality zetu na ndio inachangia mtu kujibu vipi au kutojibu PM yako. Wengi ukiwatumia PM kama hajawahi kuona michango yako kabla ya kujibu atapitia threads au comments zako kwanza ndio ataamua akujibu vipi au asikujibu.
Hata maisha ya huku mtaani ukimsalimia jinsia ingine atakujibu au kuonesha interest kulingana na personality yako.
LABDA kwa vile wewe unafeki. Btw sijazungunzia maisha halisi whatever that is, nimezungumzia personality ambayo ni ngumu sana kuificha.ID za hapa hazireflect maisha halis ya mtumiaji, we're behind the keyboard bro