Wewe tu babe ake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umechanganya madawa hapa mdogo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimetoka kapa kuelewa.
Naifahamu hiyo Hali Mkuu I have been in that way and still there. We ata usipopata wa kukufariji komaa tuu No way
Na mleta uzi ndio aelewe hasaa mana mpaka watu hawamjibu hivyo ni dhahiri hana cha mana kinachompeleka huko.
Mimi namuelezea lazima kuna sehemu anakosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu msitiri mwenzako hukooo
Kwa Hilo jina mkuu,hata ningekuwa mimi nimepata pm yako nisingeijibu.Kumbe ndio maana hujibu pm zangu tatizo ni jina langu!! Poa tu bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nielezee na mimi, nafeli vipi??Mimi namuelezea lazima kuna sehemu anakosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BTW sina pm yake Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hujibuWeee!! Mi sijibugi PM hivyo wala usihangaike mana nitaongeza Idadi ya ambao hawatakujibu.
HapanaNaifahamu hiyo Hali Mkuu I have been in that way and still there. We ata usipopata wa kukufariji komaa tuu No way
15hr ago umeanzisha Threads kama 7 kwa Wakat mmoja
Huon huo ni umaddness Mkuu ?
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haha
Kuna ID ya mwaka 2015 inaniPM ukiicheck haina msg wala reaction score (mtu wa dizain hii napotezea
Mwingine ye kila siku anaanzisha conversation mpya na kila convo ni salamu kisha anapotea hadi siku nyingine anakuj na convo mpya tena
Kuna sehemu ulishafeli hivi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nielezee na mimi, nafeli vipi??
Duh!!! Basi ngoja nifanye mchakato wa kubadili jina, nakosa vingi humuKwa Hilo jina mkuu,hata ningekuwa mimi nimepata pm yako nisingeijibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me nashindwaga kuelewa kabisa kabisaaaNa mleta uzi ndio aelewe hasaa mana mpaka watu hawamjibu hivyo ni dhahiri hana cha mana kinachompeleka huko.
Hii kitu ni hiari Mkuu.
Inonyesha wewe ni mzuri sana unaringia ulichonachoSijibu sababu ni hiari kujibu.
Shauri yako mkuu.Me nashindwaga kuelewa kabisa kabisaaa
Hivi kwa Mazingira haya ya anonymity JF mtu anapata wapi cha maana cha kuja nacho PM ???
Hajui unapokaa,
Hajui kazi yako
Tena kwnye Mada za biashara haupo
Hajui Anything kuhusu Wewe
Hiko cha Maana anakitoa wapi ili aje nacho ??
Tuelewane Hapa msiseme cha Maana semeni SWAGGER
Yeah Aje Swagger Kali
Hakuna cha Maana cha kumleta mtu PM hapa JF regardless mamb ya biashara
Hapana nini Sasa Mkuu
Shauri yako mkuu.
Mazingira haya haya kuna watu wamepata kazi humu, kuna watu wameoa na kuolewa humu humu, kuna watu wamepata mtoto/watoto humu.
Jidanganyeni tu
Hahahahahahahaahahhahaha!Bro unaonekana umekwiva kwenye sekta ya PM.
Sijui sisi tunafeli wapi.
Hizi za Kwenda moja kwa moja Kwenye mada sio nzuri Sana.
Unakuta mtu anakupm kaandika"kwa Jina la mapenzi karibu moyoni"
Hiyo Ni text yake ya kwanza juu kabisa.
Ni vema mtu anapokupm akaanza na salamu na kukujulia Hali kwanza.
Hii inatoa nafasi ya kujua Khali ya mtu anayewasiliana Naye,mf kujua Kama Ni mzima,mgonjwa, Kuna shida anapitia au Yuko bize .
Kuanza tu kujieleza moja kwa moja kwa mtu,unaweza jieleza kumbe Ana Shida au anaumwa.
Sent using Jamii Forums mobile app