Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Ingawa hatuonani ila michango yetu kwa kiasi fulani inaonesha personality zetu na ndio inachangia mtu kujibu vipi au kutojibu PM yako. Wengi ukiwatumia PM kama hajawahi kuona michango yako kabla ya kujibu atapitia threads au comments zako kwanza ndio ataamua akujibu vipi au asikujibu.

Hata maisha ya huku mtaani ukimsalimia jinsia ingine atakujibu au kuonesha interest kulingana na personality yako.
LABDA kwa vile wewe unafeki. Btw sijazungunzia maisha halisi whatever that is, nimezungumzia personality ambayo ni ngumu sana kuificha.
Hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom