Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

hahaa sawa """ ngoja nikatie majungu kule ...maana huwenda watamuogopa na kuahamia..kwangu..na kwenda na ushahidi wa comment yako na i screenshot ili wajue kuwa Jamaa keshawahiwa....."" zamu yangu kutamba sasa"""
Ndio mana nakupenda mie halafu tumewekeana tego waingie hapo wanase
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…