Acha kabisaKumbe humu kuna watu baadae wanakuja kujuana mpaka kulana!
Kweli ?Acha kabisa
Mashangazi wana kuangalia tuπ€£π€£π€£π€£Unavowalia timing na wenyewe wanakulia timing hivo hivo, inaitwa butua nikubutue!
Jins ulivo kitombi na kuna wadada humu wanakigawa kama karanga daadeki! Hela ngumu mazee. Ila ni matumiz mabov ya jf kusaka pisi humu, umeshindwa platform wanazojianika sura na shape kabisa unakuja kutongoza id za ku download mshangaz miaka 50+ kaweka picha ya beyonce na wewe imoo π
Hata wewe umebadili juzi, unamchanganya mwambaππππ poleni wanaume
π maswala ya nyuma ya keyboard hayoUnavowalia timing na wenyewe wanakulia timing hivo hivo, inaitwa butua nikubutue!
Jins ulivo kitombi na kuna wadada humu wanakigawa kama karanga daadeki! Hela ngumu mazee. Ila ni matumiz mabov ya jf kusaka pisi humu, umeshindwa platform wanazojianika sura na shape kabisa unakuja kutongoza id za ku download mshangaz miaka 50+ kaweka picha ya beyonce na wewe imoo π
Ngoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
[emoji23][emoji23][emoji23]Saluti nyingi sana kwenu wanetu mnaopata mademu kwa kutumia hizi fake IDs? Mna ushujaa mkubwa sana hakika nyie ni miamba [emoji119]
Mimwenyewe nimeshangaa sana kumbe watu wanakulana kabisa humu..π€£Kumbe humu kuna watu baadae wanakuja kujuana mpaka kulana!
Mambo yasiwe mengi.
Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.
Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au kumchakata?
Jamani msibadili majina na mkibadili mtuambie ili tusiingie kwenye mtego.
Mfano hawa akina Palina Bantu Lady Makiwendo n.k
sijabadili mie πHata wewe umebadili juzi, unamchanganya mwamba
Ayaaaaaaa...........Ngoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
Kuoana kabisa mkuuKumbe humu kuna watu baadae wanakuja kujuana mpaka kulana!
Umebadili we si ndio ulikua unaitwa Cappuchino tunda wa meja kunta whozusijabadili mie π
ππππβUmebadili we si ndio ulikua unaitwa Cappuchino tunda wa meja kunta whozu
ndio mwamba anaewazungumzia mnamchanganyaππππβ