Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyo Demiss, kama yumo humu atakuwa ametulia. Si kwa vurugu za kipindi kile.Hao kina Mama Sabrina, Demiss, Miss Natafuta, Yna2, Nifah n.k na wengine wengi wamekuja kwa majina mapya baada ya kufumiliwa humu wanataka new members wawarukia kama visu vipya
Noma mzee ilikua hata. Huyo mamsii alikua chakula ya Mshana Jr kumbe wajuba wanajipigia huko Dodoma nikashangaa mtaalamu Mshana anashindwa vipi kuloga mtuIla huyo Demiss, kama yumo humu atakuwa ametulia. Si kwa vurugu za kipindi kile.
Na huyo Mama Sabrina.
Kweli kila zama na kitabu chake.
Namkubali sana ila kitambo sijamuona labda kwa kuwa na mimi sikuwepo humu kwa muda Sky Eclat nina kabajeti hapa ka Savannah, kitimoto na ndizi, njoo tuyajengeHuyo ni mama yako mtu mzima mmoja yupo kwa Mtogole ila ni classic mama, huyo tuachie sisi baba zako akina Bujibuji Simba Nyamaume
Mkuu ebu tupe machache maana sie wengine ni wageni humu..😎Ila huyo Demiss, kama yumo humu atakuwa ametulia. Si kwa vurugu za kipindi kile.
Na huyo Mama Sabrina.
Kweli kila zama na kitabu chake.
Mwenyewe nna mpango wa kubadili soon, nahitaji boifrendi mpya kijana namba DZTunashindwa kukutongoza sasa maana tunaogopa kurudia chaka la zamani.. hawa akina espy ledada Joanah Evelyn Salt Sky Eclat n.k afadhali hawajabadili majina tunawajua
Wanatokea wapi mkuu...🤔Wako njiani wanakuja.
Kumbe humu kuna watu baadae wanakuja kujuana mpaka kulana!
Mpendwa faida kubwa ni haurudii kutongoza mara ya pili....Haha sasa faida za kujua manzi gani kabadili ID kuwa nani ni zipi, mkuu?
Akaaa nyie kina carina siwataki mguu njiani mguu gereji , japo na mie ni carina iliyochangamka 😁Kuna sisi namba AE
Mimi nakumbuka basi hata kama uliwahi kuja PM[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hata ungenitongoza mara mbili nisingejua.Hi Hannah, naitwa Samwel. Can we be lovers kama wale wa kwenye kitabu cha Wafalme?
Halafu wewe Hannah ulikua unaitwa Black Angel wewe sasa niliwahi kukutongoza ona tena leo nakutongoza mara ya pili.
Kwanini mkuu?Daah lkn wewe Mungu anakuona[emoji16]