The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
🤣🤣🤣🤣Twende basi kule kwenye miti na kikaptula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Twende basi kule kwenye miti na kikaptula
Umepotea sana hadi sikuelewi yaniNimekubamba Sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya taja user name zako za kaleee.
Alafu nimekumiss ujue.
Rudi nyumbani chaap!
Unakosea, usifunge pm waache wakutongoze shida iko wapi?Asee mie mvivu kujibu hizo PM
Tangu ueke hii thread nmereceive PM 5 na wala sihitaj any imebidi nifunge
Hapo its like unanipa promo mie sitaki eti😃😃😃
Itaje DeepPond 😄😄😄😄 na ikiwa kweli nakutumia 500,000 cash kwa wakala.Uyo Bantu Lady I'd yake mpya naijua[emoji12]
Bazazi kasema[emoji23][emoji23]Ngoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
Habari yako Bantu LadyItaje DeepPond 😄😄😄😄 na ikiwa kweli nakutumia 500,000 cash kwa wakala.
Nzuri za kwako GlennHabari yako Bantu Lady
Halafu nyie mnaosema "kumbe" ndio mabazazi wakubwa humu🤣Kumbe humu kuna watu baadae wanakuja kujuana mpaka kulana!
Sijawah muona tenaHivi Mama Sabrina ameendaga wapi?😁😁😁
Mkuu wewe ulikuwa na visanga vingi miaka ile, hukukulana kweli?🤣Mimwenyewe nimeshangaa sana kumbe watu wanakulana kabisa humu..🤣
Jeinger wewe unafikiri mimi mbung'o?😅😅Sijawah muona tena
Kabisa mkuu, sijawahi hata kukutana na mdada yeyote wa Jf.Mkuu wewe ulikuwa na visanga vingi miaka ile, hukukulana kweli?🤣
🤣🤣🤣🤣 Ndio ukomee!Kama nanii yani anapenda kubadili ila mm sikomi namtongoza hvyo hvyo tu afu tukifika sehem ya kwichikwichi kumbe namjua Bangladesh mkubwa ww
Huu utoto sasa jamani ndo uje kutuanika hapa kweli. Unataka utuharibie kwa mashangazi. Maana inaonekana wewe wa juzi kabisa halafu bado katotoAsee mie mvivu kujibu hizo PM
Tangu ueke hii thread nmereceive PM 5 na wala sihitaj any imebidi nifunge
Hapo its like unanipa promo mie sitaki eti😃😃😃
Ni wewe au nimesahau, uligonganisha crown mbili kwa wakati mmoja?🤣🤣Kabisa mkuu, sijawahi hata kukutana na mdada yeyote wa Jf.
Visanga gani mkuu vilikua..🤣
Jeinger wewe unafikiri mimi mbung'o?[emoji28][emoji28]