Mayila Baba
Member
- May 21, 2016
- 93
- 60
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Stori inataka ushauri juu ya mpenzi mlevi ila taandikwa hivi
Jamani naomba ushauri ,tukitokea vacation zanzibar mimi na mpenzi wangu ghafla ameanza tabia ya ulevi yaani jana kanywa chupa 3 za hennessy hata gari akashindwa kuendesha ......
See...! Nan anaelewa hizo hannesy... Kwa nin usiseme konyagi, au mzinga ili tuelewe wote.....Stori inataka ushauri juu ya mpenzi mlevi ila taandikwa hivi
Jamani naomba ushauri ,tukitokea vacation zanzibar mimi na mpenzi wangu ghafla ameanza tabia ya ulevi yaani jana kanywa chupa 3 za hennessy hata gari akashindwa kuendesha ......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Stori inataka ushauri juu ya mpenzi mlevi ila taandikwa hivi
Jamani naomba ushauri ,tukitokea vacation zanzibar mimi na mpenzi wangu ghafla ameanza tabia ya ulevi yaani jana kanywa chupa 3 za hennessy hata gari akashindwa kuendesha ......
Kila mtu Jf anajifanya ni mrembo ana maisha mazuri,lakini nahisi kwa uhalisia sio wote wako hivyo ,wengi wao wanaishi maisha ya kuigiza...hawana lolote
Kweli kabisa... Anaish tandare, anauza vitumbua asubuhi, anapata hela ya vocha anakuja na story za ajabu humu... Nilienda kempisiky na boy fulan.. Braaa....braaaa...braaaKila mtu Jf anajifanya ni mrembo ana maisha mazuri,lakini nahisi kwa uhalisia sio wote wako hivyo ,wengi wao wanaishi maisha ya kuigiza...hawana lolote
Sio kila mtu mkuu...Kwa hiyo nyie mlitaka mtu akiandika stori aanze mpenzi wangu anayekaa kwenye nyumba kuukuu....
Kama mtu mpenzi wake anapunch gear kwanini asiandike? Au kama anaishi pazuri kwanini asiseme...
Sasa utajuaje otherwise kama ulishakutana na aliyejisifia kwenye uzi halafu ukagundua alichokiandika sicho.Sio kila mtu mkuu...
Wengine ni pretenders... Kiuhalisia hawana yuma wala mbele..
Aisifiae mvua mkuu........Sasa utajuaje otherwise kama ulishakutana na aliyejisifia kwenye uzi halafu ukagundua alichokiandika sicho.
[emoji106] [emoji106]Aisifiae mvua mkuu........
Sasa mkuu. Akiandika hayo shida inakuwa wapi? Maisha mepesi ila ukitaka kuyafanya yawe magumu lazima yawe tu.Kweli kabisa... Anaish tandare, anauza vitumbua asubuhi, anapata hela ya vocha anakuja na story za ajabu humu... Nilienda kempisiky na boy fulan.. Braaa....braaaa...braaa
Be natural bana people tunaelewa vizur tu