Wanawake wa JF tukutane hapa

Wanawake wa JF tukutane hapa

Sidhani coz sikumuomba wala hatukuwa ktk maongezi ya kiutu uzima ye alidhani mimi ni mtusi kutokana na pic niloiweka hapo, alinambia baba yake mtusi mama ni chotara wa kisomali na mzungu, mkaka ametanuka yaani umbo km la Mr flavour sura sasa lips aloooo macho afu kitu chocolate
Babe we si ushaolewa?? huyo atanifaa mimi nipatie ID
 
Kibend sidhani... sema kawa mbaya jamani enz zake alikua chombo daah
Mmh chunguza bwana nahisi kuna sehem nilikuta mtu alimpost huyo aliyempost akawa anajibishana na mtu kuwa mvumilie tu si unajua hali yake hii na kwake ni mwendo wa kupost tbt tuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mamii
Yani nipo nasoma comment zenu hivi
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom