Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Decute alikua na mbwembwe kipindi flan naona siku hizi kapoa sanaBasi wakunyumba ndo hivyo. Ila league ilikua hatari jamani hadi nikala block kwa team M. Yule Decute88 hadi leo kanipa block insta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Decute alikua na mbwembwe kipindi flan naona siku hizi kapoa sanaBasi wakunyumba ndo hivyo. Ila league ilikua hatari jamani hadi nikala block kwa team M. Yule Decute88 hadi leo kanipa block insta
[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ... poleeMnavopiga huu umbea, halafu siambulii hata moja natamani kulia haki a nani..... Ehuuu ngoja nikae chini ya feni
Ahahahh yaan sijui sura yake anaiweka wapiii si kwa mashauzi yale jamaanNilijiuliza huyu kubadili ubini kaolewa? Nikajibiwa akiolewa huyu makabichi yote ya kinondoni yataolewa labda sio O huyu anaejulikana mchafuaji
Hahahaha uko njema kwa kukamatia fursa niliifuta pm yakeEmbu nitumie na mie hiyo picha love.. naweza mtunuku
Itakua anakua anawatambia wenzie kina R cheupe wa yule dada fundi.. maana huyo S kabla hajaenda China alikua anatoka na REhee kwanini anawaambia wajiite hivyo? Ili aonekane amepita nao nini?
Huko kulelewa kumeishia wapi kwa mtu kama O sio wa kumwamini sanaSi wanataka good life watafanyaje.. we kama M alienda China kujiuza akakutana na boss kubwa M kwanini asitulie alelewe.
Babe we si ushaolewa?? huyo atanifaa mimi nipatie IDSidhani coz sikumuomba wala hatukuwa ktk maongezi ya kiutu uzima ye alidhani mimi ni mtusi kutokana na pic niloiweka hapo, alinambia baba yake mtusi mama ni chotara wa kisomali na mzungu, mkaka ametanuka yaani umbo km la Mr flavour sura sasa lips aloooo macho afu kitu chocolate
Yaani huwa nikisikia story za huko huwa nacheka sanaNa huko china ndio usiseme jamaan watanzani huko ni kusemana tuuu
Mmh chunguza bwana nahisi kuna sehem nilikuta mtu alimpost huyo aliyempost akawa anajibishana na mtu kuwa mvumilie tu si unajua hali yake hii na kwake ni mwendo wa kupost tbt tuuKibend sidhani... sema kawa mbaya jamani enz zake alikua chombo daah
EeehYeah nakumbuka alikamatwa nairobi na amber lulu alitaka kuondoka nae
WANAWAKE WAMBEA NINYI KHAAA..Hahahahahaaa... huyo huyo wa kunyumba
Huyo bwana wa kupeleka warembo china wakunyumba sio yule anayeanzia na herufi O
Ahahahh yaan inauma ebu niambie tuanzie wapi sasa ili ujueMnavopiga huu umbea, halafu siambulii hata moja natamani kulia haki a nani..... Ehuuu ngoja nikae chini ya feni
Kapoa baada ya insta watu kuacha kuchambanaDecute alikua na mbwembwe kipindi flan naona siku hizi kapoa sana
Amebaki tu anapambana na hali yake amewapa watoto wa kino clan kazi ya kumsemaAhahahh yaan sijui sura yake anaiweka wapiii si kwa mashauzi yale jamaan
Sasa unajua hata ile mimba aliibeba baada ya S kurudi bongo ili amkomeshe SAhahahh yaan sijui sura yake anaiweka wapiii si kwa mashauzi yale jamaan
Kweli kapata zali la mentali ila wamejua kuliwa na yule mkakaSi wanataka good life watafanyaje.. we kama M alienda China kujiuza akakutana na boss kubwa M kwanini asitulie alelewe.
Yani nipo nasoma comment zenu hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mamii
Eeeeeh bahati ndo hiziHahahaha uko njema kwa kukamatia fursa niliifuta pm yake