S si mtoto wa mjini anajua kucheza na akili za wadada..Huko kulelewa kumeishia wapi kwa mtu kama O sio wa kumwamini sana
Niliona anafanya biashara zake vizuri tutoka nile block sijui hata kama yupogo.. sema nampenda yule dada hajiuzii kuvaa na kuweka nywele kama wengine. Kamjengea mama ake nyumba nzuri sana Sinza maeneo ya mapambano
Matokeo yake sasa wanamng'ong'a tu !!Itakua anakua anawatambia wenzie kina R cheupe wa yule dada fundi.. maana huyo S kabla hajaenda China alikua anatoka na R
Mmmmmh..Mmh chunguza bwana nahisi kuna sehem nilikuta mtu alimpost huyo aliyempost akawa anajibishana na mtu kuwa mvumilie tu si unajua hali yake hii na kwake ni mwendo wa kupost tbt tuu
Wakunyumba umeniacha R ndio nani tenaItakua anakua anawatambia wenzie kina R cheupe wa yule dada fundi.. maana huyo S kabla hajaenda China alikua anatoka na R
AhahahhhhBabe we si ushaolewa?? huyo atanifaa mimi nipatie ID
You're as humble as a queen! Kama unadriki kuomba msamaha stranger, wanaume atakayekuoa atapata raha sana!Hahahahh mkuu mi sijawahi kufunga PM,nisamehe kama imesound kama kibano kwako
Mmh sijui niseme nn, nakwambia jf kuna kila sample, yaan nilikutana na mkaka kwanza sijui nielezee vipi, upstairs yuko vizuri kinoma mcheshi, mrefu, mweusi zile rangi tunazozipenda, macare flani hivi ahaaa msomi kasoma mpaka mwisho wa reli, mm na kidegree changu cha kolomije najiona nyooo!
My dia wakaka unaowawaza kichwani wapo jf ila jinsi ya kukutana nao ni ngumu sana. Alinitafutaga nimfanyie kitu kutokana na sehemu nilivyo comment, kumjua sasa ilikuwa ni mbinde sana tena sana. Nilivyomjua nikaishia kutoa udenda.
Muda ukifikaga nitakuja kuleta hapa Uzi
Teh teh teh L.......ce baby.
Nimekuja PM kukutajia S jina lake lote naona kuna vitasa.. nahisi kunae S wawili hapaMmh chunguza bwana nahisi kuna sehem nilikuta mtu alimpost huyo aliyempost akawa anajibishana na mtu kuwa mvumilie tu si unajua hali yake hii na kwake ni mwendo wa kupost tbt tuu
Hakufai niliyashuhudia na usiombe ufulie wabongo wenzio wajueYaani huwa nikisikia story za huko huwa nacheka sana
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]WANAWAKE WAMBEA NINYI KHAAA..
Kama ndio wewe mkuu O tusamehe tu umbea sunna kwa mtoto wa kikeWANAWAKE WAMBEA NINYI KHAAA..
Ila ni kanajua kufanyia cha maana hela zake alivyomjengea mama yake nyumba alinifurahishaKapoa baada ya insta watu kuacha kuchambana
M ndo karudi sasa na bwana kamkosa imekua sio zali tenaKweli kapata zali la mentali ila wamejua kuliwa na yule mkaka
Ahahhah apambane tu na hali yake hakuna namnaAmebaki tu anapambana na hali yake amewapa watoto wa kino clan kazi ya kumsema
nimewasamehe... haya nitumie namba zenu nanyi mje chinaKama ndio wewe mkuu O tusamehe tu umbea sunna kwa mtoto wa kike
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
NakumbukaSasa unajua hata ile mimba aliibeba baada ya S kurudi bongo ili amkomeshe S
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani nipo nasoma comment zenu hivi
View attachment 624150
Wenyewe wanasemaga malaya wa China wanapenda sana kusemana. Hata sisi huku tunajuaga habari zao maana kutwa kusemanaMatokeo yake sasa wanamng'ong'a tu !!
Huwa nahisi wanaishi maisha ya tabu sana kule, sema huwa nakapenda ka matty pamoja uwehu wakeHakufai niliyashuhudia na usiombe ufulie wabongo wenzio wajue