Wanawake wa JF tukutane hapa

Hilo la ugonjwa mwenyewe nimelisikia mdaa ila M kujipa mpaka ubini wa mwanaume kawaje mpole sasa mwanaume sio ndg yako na huko china kwao kulivyo kwa unafki ni kusemana tu kuanzia donfang kuendelea
Si kwa hizo code jamani
 
Ayaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
R kafulia nae, na akifulia ndo anajifanyaga anampenda Ney... yule nae kawatafuna jamani daaah..
R, N aliemuoa S na yule Kapusi ni maarufu sana kwa kupenda kote kote na wamejua kuwachafua wadada wa mjini halafu utafikiri wanaambizana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…