Sasa si ndo maana nimeshangaa mbona shoga habadili jina Ig. Au kaka hapend drama za mitandao japo kuna picha kampost anamuwish happy birthday kaitafuteMasikini usikute anaweza kumtuliza ila shoga akipenda huwa anabadili ubini nashangaa sasa hivi jina alijabadilishwa
Halaf CK alimnunulia nyumba ambayo ndio naima anayokaa ujueNi bingwa wa kuigiza.. kuna siku niliwaona na CK jamani kajitanda ushungi utasema mwislam swafi. Nikamuuliza CK kwahiyo ndo unaoa hapa akasema huyu mwanamke katulia tofauti na wengine blah blah.. sijui walitibuana nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawajui ujue ebu nitajie huyo mkaka anayeringa humu jf ana bichwa kama la embe haujamjua tuShangaa na wewe ..wangejua sakayo apenda sura ngumuuu!!
Hapana hajawahi mnunulia.. Naima anakaa Magomeni kapanga tena pa kawaida tu ndo alikua anakaa na Manyika...Halaf CK alimnunulia nyumba ambayo ndio naima anayokaa ujue
Namtaka na huyo mwenye bichwa la embe anayeringa humu aliyemsema everlinSiwez kukusahau mpenz
We acha tuu ila awe hajaoa ,maana kuna shombe moja humu matata ila lina familia tayariAhahhahah kama nakuona
Mwenyewe simjui.. Eveline naona anatulipiziaNamtaka na huyo mwenye bichwa la embe anayeringa humu aliyemsema everlin
Mmh ipo mwanzoni hivii au kapost mwezi gani nikaangalieSasa si ndo maana nimeshangaa mbona shoga habadili jina Ig. Au kaka hapend drama za mitandao japo kuna picha kampost anamuwish happy birthday kaitafute
Hata upendeze vipi sisi tunaangalia wowowo...... ZAWADI ya kubarikiwa ni KUBARIKIWA wowowoSiku hiz mambo ya flat screen bana,chogo(chura) mambo ya kizamani hayo usidanganyike[emoji23]
CK maskin alijua kumpa maisha sana Wema basi tu.Nilicheka tu nikamwambia hongera kaka maana hilo ni bomu umejivika jiandae litakulipukia dakika yoyote akasema eti we hujui tu katulia sana Naima.. sema hata Naima alimpendaga CK.
Mmh mbona alihojiwa na shilawadu anakaa kwenye nyumba yake wakamuuliza ndio alikununulia ck enzi zake ipo kigamboni akasema hata manyika alikuwa anaishi nae hapoHapana hajawahi mnunulia.. Naima anakaa Magomeni kapanga tena pa kawaida tu ndo alikua anakaa na Manyika...
Bora wameachana angemtesa tu kaka wa watuIla alikuwa anampenda jaman alikuwa anavumilia mauchafu yote ya naima yaan naima alikuwa hampendi kabisa saad
Basi hata mimi nimetenda dhambi.Jamaaani auntie,ujue kuhisi dhambi lakini
Shombe tena dada kwa ninavyokujua usije ukawa umetumiwa pic za kudownload ogoha wanadamuWe acha tuu ila awe hajaoa ,maana kuna shombe moja humu matata ila lina familia tayari
Lete hela[emoji85]Na mm jaman nataka kumjua
Kapost September 1Mmh ipo mwanzoni hivii au kapost mwezi gani nikaangalie
Ahahhahha mbona katuwezaMwenyewe simjui.. Eveline naona anatulipizia
Sijamjua... Niambie basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawajui ujue ebu nitajie huyo mkaka anayeringa humu jf ana bichwa kama la embe haujamjua tu
ha ha ha utakua unamjua, mashauzi utadhani ana la maana mfyuuu zakeEve una nini lakini!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona kama nami namfahamu[emoji85] [emoji85]
Yaani nimecheka!
Alichezea hela na mapenz.. Ck alimpenda yule mwanamke na ndo chanzo cha matatizo ya CkCK maskin alijua kumpa maisha sana Wema basi tu.
weekend iliyopita nilikua kwa Junaithar pale dukani kwake kinondoni alikua yupo na Lamar basi akaja Wema sijui ilikua Uber ile maana dereva alikua mwanaume then plate no nyeupe.
alivyingia na mbwembwe mle ndani nikawa nawaona lamar na junaithar wanakonyezana tu wakonyezane
Nikasikitika moyoni nikajisemea alivyochezea hela wakati wa CK wema sio wa kutembelea Uber.