Kwakwel wanakutana na changamoto sana ...shughuli inakuw kwako sasa unaishi bila amaniWacha weeee!!!
Kuna mkaka aliwahi nipenda enzi hizo yule mkaka alikuwa maarufu mji ule na alikuwa HB Kweli kweli kiasi kwamba nilimwambia kwamba sifanani nae mkaka anaishi kistar mi nipo uswahilini lkn hakuchoka story ilienea shule nzima bhana kapeace ndo kipenzi cha fulani sekeseke nilopata sitasahau wanaume wazuri tangu wakati huo mudi yangu kwao ilikata
Mwanaume style za akina patoranking ndo huwa napenda hao na ninapata appetite balaa yanmmh mi napenda mwanaume mzuri asee ila sio mrembo, hao wenye sura ngumu hapana mwanaume hadi umkamulie ndimu ndo upate apetite hapana
Teh teh tehKwa hiyo mimi mchunga n'gombe ndiyo sina langu daah acha nihamie badoo.[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Unafatwa na madada eti wakuone unafananaje hehehehehe utoto raha sanaKwakwel wanakutana na changamoto sana ...shughuli inakuw kwako sasa unaishi bila amani
Yes muhimu awe na cente
Tuna taste sawa, utakuta ana sura ngumu halafu sio smart yaani nilikua siwataki hata kidogommh mi napenda mwanaume mzuri asee ila sio mrembo, hao wenye sura ngumu hapana mwanaume hadi umkamulie ndimu ndo upate apetite hapana
Hahahah halafu wanakua wanajilinganisha na wew ...ilimradi ni tafraan tuuUnafatwa na madada eti wakuone unafananaje hehehehehe utoto raha sana
Patoranking sio mbaya ujue, wabaya ni kama Linex, juma nyosoMwanaume style za akina patoranking ndo huwa napenda hao na ninapata appetite balaa yan
Hahaa hao ndo wasimamia ad kucha unakuta Mdada mremboo kanasa pale ...machineTuna taste sawa, utakuta ana sura ngumu halafu sio smart yaani nilikua siwataki hata kidogo
Hapana yaani nilikua siwaweziHahaa hao ndo wasimamia ad kucha unakuta Mdada mremboo kanasa pale ...machine
HahahaaHapana yaani nilikua siwawezi
Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali
Sema thuu nimtaje jina uyu kaka anaishi sinza Kama skosei mi nilimtolea nje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilimwona ni playboyHivi kuna mwanamke humu ashakutana na mwanaume wa jf yuko hivi au anafanana hata kidogo ,au hata kumfikia huyu kaka ,,tuseme tu ukweli maana vidume vya humu kwa kujiona[emoji23][emoji23]havijambo
Tuseme tu ukweli wala tusifichane na msitaje id zao,,huyu mkaka ni Mtz kabisa anajiita dokta ulimwengu sasa sijajua kama ni mwanaume mashine ama la,,na nahisi muda si mrefu atawahiwa na kina wolper[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mi huwa nikikutana na wa hivi lazima nigeuke kusafisha macho ,,mim sijawah kukutana na mwanaume wa jf,so semeni nyie [emoji23][emoji23] ,nje ya jf zamani kabla sijawa bibi niliwah kukutana na wawili kama huyu sasa wana vibamia vilivyotukuka Mungu hakupi vyote
View attachment 623985View attachment 623986
Tupo mbonamie mwanamume mchachu nampenda jaman sema wamekuwa adimu pyee
Hana tatizo loloteTatzo nn
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji111] [emoji111] [emoji111]Hana tatizo lolote
Asante ur welcomehongera aisee