Wanawake wa JF tukutane hapa

Wanawake wa JF tukutane hapa

Wacha weeee!!!

Kuna mkaka aliwahi nipenda enzi hizo yule mkaka alikuwa maarufu mji ule na alikuwa HB Kweli kweli kiasi kwamba nilimwambia kwamba sifanani nae mkaka anaishi kistar mi nipo uswahilini lkn hakuchoka story ilienea shule nzima bhana kapeace ndo kipenzi cha fulani sekeseke nilopata sitasahau wanaume wazuri tangu wakati huo mudi yangu kwao ilikata
Kwakwel wanakutana na changamoto sana ...shughuli inakuw kwako sasa unaishi bila amani
 
Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali

[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nilikutana na mwanaume mmoj wa jf umu sitaj jina aseee ni handsome balaaa askwambie mtu ni mnene at kitamb ivi kapand hewan na ana kil kitu mpk Sasa nipo tunachunguzn kwakwel ni mzur uyu kaka jaman ni mchaga
 
Hivi kuna mwanamke humu ashakutana na mwanaume wa jf yuko hivi au anafanana hata kidogo ,au hata kumfikia huyu kaka ,,tuseme tu ukweli maana vidume vya humu kwa kujiona[emoji23][emoji23]havijambo
Tuseme tu ukweli wala tusifichane na msitaje id zao,,huyu mkaka ni Mtz kabisa anajiita dokta ulimwengu sasa sijajua kama ni mwanaume mashine ama la,,na nahisi muda si mrefu atawahiwa na kina wolper[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mi huwa nikikutana na wa hivi lazima nigeuke kusafisha macho ,,mim sijawah kukutana na mwanaume wa jf,so semeni nyie [emoji23][emoji23] ,nje ya jf zamani kabla sijawa bibi niliwah kukutana na wawili kama huyu sasa wana vibamia vilivyotukuka Mungu hakupi vyote
View attachment 623985View attachment 623986
Sema thuu nimtaje jina uyu kaka anaishi sinza Kama skosei mi nilimtolea nje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilimwona ni playboy
 
Wanaume wamenywea kama nawaona wanavopita kwa kunyata [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom