Wanawake wa JF tukutane hapa

Huyo HB najua kuna sura za kiume humu hadi raha


nirushie moja wangu !nisafishe macho !sina namna !sasa humu kuna hb mmoja 'namuhifazi' andika yake tu unajua huyu anajitambua !ahhahah uwiii
 
Mie naona wanawake ifikie wakati,tuwaheshimu wanaume mana kama unamkuta yuko kibamia unakuja kutangaza sioni kama inapendeza,mtazamo lakini,iwapo hajakuridhisha basi hachana nae tafta mwingine.sorry japo sjawai kutana na mwanaume wa jf,na sina mpango .
 
nirushie moja wangu !nisafishe macho !sina namna !sasa humu kuna hb mmoja 'namuhifazi' andika yake tu unajua huyu anajitambua !ahhahah uwiii
Naona unanizungumzia mtt mzuri[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…