Wanawake wa JF tukutane hapa

Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali
Tatizo lenu mnachaguwa mabishoo unategemea nini njooo kwa mvutakamba uone kazi
 
hahaha alinishangaza sana huyu dogo aisee eti anajiita hb !ila kiukwel huyu kaka umefanana naye !biora umekuja aisee !sema wewe nahakika hulambi lips !una extra...............................!thinichape dadako!
Hahahaaa! Mimi mgumu siwezi kufanana na huyo hb. Duu! Lips tena kijana niliyekuzwa mkoani? Wewe si unajua ndugu yako nazeeka na ushamba wangu. Hayo mambo ya masharobaro mimi sina.

Ila na wewe sister uko njema. Ni basi tu shindano la ulimbwende limesimamishwa.
 


ngoja niake kimya !nimekumiss !sijui wameniibia huyu mtu
 
Ni pale mwenye baby wake anamkuta anajadiliwa namna hiii[emoji55]
 
Reactions: BAK
kibamia + bank account zero [emoji3][emoji3][emoji3]
 
This is one of his very current pictures.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…