Wanawake wa JF tukutane hapa

Huyo sio mzembe mzembe mkuu... huyo ex gf wake alikua kisu hatarii yani kummliki mtoto kama yule ilikua sio jambo dogo sema wajanja wakamuwahi wakampeleka demu China
kumbe mtu akitaka kwenda china inabidi atafute wa kuenda naye ila sasa passport itakuwa kazi kutafuta
 
kumbe mtu akitaka kwenda china inabidi atafute wa kuenda naye ila sasa passport itakuwa kazi kutafuta
Hamna huyo dada alikua anasoma chuo huku akazingua akapata bwana fulani maarufu sana kupelekaa warembo China basi bidada akajua ndo atakua mke akaenda China akakaa kama miezi sita akarudi yule bwana wa China akamuacha na huyo kaka akamuacha pia maskini. Sasa hivi yupo tu wamemkula mkula wanaume wa Dar wamemwacha..
 
Ivi mwanaume unapoambiwa na mwanamke yo a kynda cute n not handsome apa mwanamke anamaansha nn eti...nisaidie kwa ili kwanza
 
duh
 
Nani huyo mtaje basi tukamuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…